Akichangia hoja muheshimiwa Deus Clement majuzi alitufungua macho hali ilivyokuwa katika Benki za Selikali.
Mikopo chechefu, hii ni mikopo mibaya au NPL, Non Performing Loans au ambayo haina marefesho mazuri baadhi ya mojawapo ya Benki ya selikari ina 55% ya mikopo katika vitabu vyake kama...