Katika juhudi za kupunguza maambukizi ya #CoronaVirus, nchi ya Ufilipino imeamua kuwaachia wafungwa karibia 10,000 ili kupunguza msongamano kwenye magereza
Awali Umoja wa Mataifa ulizitaka Serikali kuweka mikakati ya kuwalinda wafungwa na ulipendekeza wale wenye uwezekano mkubwa wa kupata...