ufisadi kagoda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Josh Michael

    Dk Slaa ataka serikali kumkamata Kagoda

    Na Salim Said KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbroad Slaa amesema vita ya ufisadi nchini, haitafanikiwa kama serikali haitamkamata Kagoda na kumchukulia hatua kali za kisheria. Kagoda ni kampuni inayotuhumiwa kuhusika na wizi wa fedha uliotokea katika...
  2. Mzee Mwanakijiji

    Kagoda wamerudisha fedha, bado mnataka kuwajua?

    Manji alirudisha fedha kwa niabaya "Kagoda" akidai kuwa aliyehusika ni marehemu baba yake. Serikali ikapokea fedha hizo na kuzijumlisha kwenye ile jumla ya Rais. Soma pia Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal a. Kama wamerudisha fedha na serikali imekubali kupokea kuna haja ya kujua...
  3. Ng'wanza Madaso

    Waliorudisha na wale hawakurudisha pamoja na kagoda kusimama kizimbani

    All EPA suspects to face trial, says DPP 2008-11-26 11:04:17 By Joyce Kisaka Director of Public Prosecutions Elieza Feleshi said yesterday his office would prosecute all suspects linked to the siphoning of 133 billion/- from the Bank of Tanzania External Payment Arrears (EPA) account...
  4. Invisible

    Kagoda: Ni Rostam

    Wakuu, Tuliwahi kuweka doc moja ambayo ilikuwa detailed kwa kina juu ya wahusika wote wa EPA na nahisi wengi hawakuigundua section hii. Sasa nimeonelea niziwasilishe katika mtiririko ambao hata ambao hawajajisajili wanaweza kuona wahusika hao na kujiuliza KWANINI hawajachukuliwa hatua. Au...
Back
Top Bottom