Museveni anatawala UG tangia 1986, ameweza hilo ingawaje anatoka kundi dogo ambalo ni minority Uganda, sababu kubwa ni kwamba ana Jeshi, anamiliki Jeshi kama ukipenda na ndio maana anaongoza majority hata kama hawamkubali hakuna kitu watafanya sababu hawana Jeshi, uchaguzi ni zoezi tu lkn...