ugumu

Üğümü is a neighbourhood in the Pasinler District of Erzurum Province in Turkey.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    Kesi ya Mbowe inalichafua Taifa na kuzidisha ugumu kwenye ulinzi

    Katika hali ya kawaida watanzania wanafikishwa mahali pabaya na utawala wa CCM. Kuibinya demokrasia kwenye taifa kunasababisha taifa kupata raia wakakamavu sana bila sababu. Utawala wa makaburu, wareno, Idd Amin, au Gadaffi ulizaa raia wakakamavu sana kwenye mataifa hayo. Kazi ya ulinzi...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Tetesi: Dr. Meneja wa Makampuni: Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo

    Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo. Kila kitu huja kwa kukariri lol. Bila kukariri huwezi kuelewa. Bila kukariri huwezi kujua kusoma na kuandika, bila kukariri huwezi kushika verbs, bila kukariri huwezi...
  3. Action and Reaction

    Naomba kujuzwa ugumu uliopo katika kozi ya IT

    Ndugu wanajamvi napenda kuuliza katika kozi ya IT hasa ngazi ya diploma ugumu upo maeneo gani, Mana dogo anatamani kujua kwani kashachaguliwa chuo fulani jijini Mbeya, So mliosoma hiyo kozi naomba mumsaidie na kumshauri mambo ya kuzingatia nami nitampa asome ushauri wenu! Kwenu wanajamii.
  4. King Loto

    Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

    Wanajamii, Salam Alleykum na Bwana Yesu asifiwe sana. Hivi mbona wasambaa na watu wa Tanga wengi wako hapa mbuyuni, soko manyema, Dar Street, mtaa wa Ismail tena wasomali kama wote, TPC kuna hadi Wanyaki wa Mbeya japo kule ni Moshi Vijijini, watumishi wengi hapa Moshi sasa hivi ni watu wa kanda...
Back
Top Bottom