Nimepandisha mara nyingi nyuzi zangu especially zinazohusiana na masuala ya TAMISEMI hasa uhamisho nadhani uliona ndio maana ulimtuma Naibu Katibu Mkuu Charles Msonde. Sina hakika kama ulimtuma wewe au ndo unaendelea na kiburi chako.
Ok Msonde amekuja ila hamna cha maana alichoongea zaidi ya...