Uhuru Muigai Kenyatta (born 26 October 1961) is a Kenyan politician, businessman, and the fourth and current President of the Republic of Kenya. He served as the Member of Parliament (MP) for Gatundu South from 2002 to 2013. Currently, he is a member and the party leader of the Jubilee Party of Kenya. Uhuru was previously associated with the Kenya Africa National Union before joining The National Alliance, one of the allied parties that campaigned for his reelection during the 2017 general elections.
He is the son of Jomo Kenyatta, Kenya's first President, and his fourth wife Mama Ngina Kenyatta. Uhuru was re-elected for a second term in the August 2017 general election, winning 54% of the popular vote. The win was formally declared on national television by the Chairman of the Independent Electoral and Boundaries Commission Wafula Chebukati.
However, Uhuru's election was successfully challenged in the Supreme Court of Kenya by his main competitor, Raila Odinga. On 1 September 2017, the court declared the election invalid and ordered a new presidential election to take place within 60 days from the day of the ruling. A new presidential election was held on 26 October, which he won, with 39% participation due to voter fatigue, voter apathy and being boycotted by the opposition.
Ndugu yangu Samia,
Ninajua umezongwa na vimemo,
Ila ninakushauri kuwa ziara ya Kenya imeanza kuleta madhara kwa Watanzania.
Benki ya CBA ambayo ni Mali ya Kenyata inampango kupunguza wafanyakazi bila kufuata utaratibu. ha kwa kwanza hakuna sababu yoyote kupunguza wafanyakazi haswa ukizingatia...
Rais Evaristo Ndayishiye wa Burundi aliyepo ziarani nchini Kenya amepatiwa zawadi ya Ng'ombe 50 na Mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta.
Makabidhiano hayo yamefanyika leo Kisumu nchini Kenya
=====
Uhuru's Special Gift for Burundi President
By Lisa Sigei on 31 May 2021 - 5:26 pm...
President Uhuru Kenyatta’s appointment of 128 parastatal heads in 2018 has been declared unconstitutional by the High Court.
A three judge bench of the High Court declared that the appointments, which featured key political losers and former government officials, were made in an opaque manner...
Tanzania ni nchi kubwa Afrika Mashariki. Kihistoria Tanzania ina heshima kubwa duniani.
Tumesikitika sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan na ugeni wake akipokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya badala ya Rais kama mwenyeji wake.
Tukumbuke Rais (mwenyeji) anapokupokea unakuwa na Ulinzi wote...
Analihutubia Bunge la Kenya litakalojumuisha Wabunge wa Mabunge yote mawili ya nchi hiyo.
=======
Rais Samia Suluhu Hassan
Nina furaha kubwa kupata nafasi ya kuhutubia kikao cha pamoja cha Bunge la Seneti na la Kitaifa Nchini Kenya - Tanzania tuna Bunge moja. Kwangu, ndio mara ya kwanza...
Rais Uhuru Kenyatta amesema ikiwa Kenya na Tanzania zitashirikiana, ushindi utakuwa wa wananchi wa Nchi hizo mbili. Amesema Mataifa hayo yajiona kama Nchi ambazo zinashindana hazitaweza kupata Wawekezaji wakubwa
Ameeleza kuwa, Wananchi wa Mataifa hayo wakijiona kama ndugu na kushirikiana badala...
Rais Samia amesema amemuomba Rais Uhuru Kenyata wa Kenya kuwa mgeni rasmi katika sherehe ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania hapi tarehe 09/12/2021.
Rais Kenyatta amekubali ombi hilo.
===
Rais Samia Suluhu: Mwisho ni kwa taarifa yenu waandishi wa habari, mwaka huu ifikapo mwezi December...
Katika kusheherekea siku ya wafanyakazi duniani, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza kuondoa zuio la watu kutotoka nje katika kaunti tano nchini humo kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya corona.
Katika taarifa yake rais Kenyatta amesema wakati alipotoa agizo la pili kwa umma mnamo Machi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo 10 Aprili, 2021 amekutana na Dkt. Amina Mohammed, ambaye ni Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa KenyaMjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam.
President Uhuru Kenyatta presides over the official opening of the Small Arms Factory in Ruiru, Kiambu County.The President said through the local production of weaponry, Kenya seeks to enhance self-reliance, domestic innovation, and strengthening of local manufacturing capabilities, while...
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimetolewa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
Pia soma > Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa...
Uhuru Kenyatta: Magufuli taught us that Africa can do without foreign aid
Monday, March 22, 2021
President Uhuru Kenyatta's moving tribute to Magufuli
President Uhuru Kenyatta on Monday mourned late Tanzanian President John Pombe Joseph Magufuli as the man who showed that Africa can succeed...
Wakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule.
Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi? Au alitulia tu kwa huzuni yake?
Leo Rais wa Kenya amelihutubia Taifa la Kenya juu ya kifo cha Rais Magufuli na kutoa pole kwa mama Janeth Magufuli na watanzania.
Amesema anakumbuka ziara ya Rais Magufuli nchini Kenya na kwa pamoja wakafungua barabara inayoitwa 'Seven Bypass' na kwake binafsi anaikumbuka heshma kubwa...
Rais Uhuru Kenyatta leo tarehe 9 Machi, 2021 amefanya kikao na Rais wa Baraza la Ulaya Charles Michel katika Ikulu ya Nairobi.
Viongozi hao wamejadili masuala pana yanayohusu uhusiano wa Kenya na Umoja wa Ulaya yakiwemo:
• Kukuza uhusiano wa sekta binafsi ya Kenya na Umoja wa Ulaya ili kubuni...
Ethiopia’s Prime Minister Abiy Ahmed. /VCG
Ethiopian Prime Minister Abiy Ahmed is scheduled to visit Kenya for two days from Wednesday, his first foreign trip since he announced the completion of military operations in the Tigray region of Ethiopia.
While in Kenya, Abiy will join President...
Chungu ya Mabeberu imemfikia Uhuru Kenyatta uzalendo umemshinda ayataka mataifa ya ulaya kuacha kuingilia maswala ya ndani ya nchi yao (Kenya)
'Mtuheshimu ndio tuwaheshimu', Rais Kenyatta aonya nchi za nje dhidi ya kuingilia masuala yake ya ndani
Chanzo: BBC SWAHILI.
MY TAKE; Uhuru Kenyatta...
Rais Uhuru Kenyatta ambaye anatajwa kuwa mkenya mwenye ‘followers’ wengi katika mtandao wa twitter ameifunga akaunti yake ya twitter kwa zaidi ya mwaka
Amesema taarifa za nchi zitashughulikiwa na Akaunti Rasmi za Ikulu. Amesema amechana na mitandao kutokana na matusi ya wachangiaji
Amesema ‘ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.