ujenzi wa barabara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Naomba kuelewa mchakato wa barabara ya kutokea Mbezi Mwisho kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe umefikia wapi?

    Tenda: TR36/002/2023/2024/W/98 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Mbezi Victoria kuelekea Bunju kupitia Mpigi Magoe Wakuu naomba kuelewa mchakato wa barabara ya kutokea Mbezi Mwisho kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe umefikia wapi? Kinachonisikitisha hii tenda hata kwenye NEST ishatolewa na...
  2. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Amkabidhi Mkandarasi Ujenzi wa Barabara Kyerwa - Omurushaka (Karagwe)

    BASHUNGWA AMKABIDHI MKANDARASI UJENZI WA BARABARA KYERWA - OMURUSHAKA (KARAGWE). Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemtambulisha kwa Wananchi na kumkabidhi eneo la mradi Mkandarasi Kampuni ya Shandong Luqiao Group atakayeanza ujenzi wa barabara ya Kyerwa - Omurushaka (km 50) kwa kiwango...
  3. Roving Journalist

    Bashungwa amkabidhi mkandarasi ujenzi wa Barabara Kyerwa - Omurushaka (Karagwe)

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemtambulisha kwa Wananchi na kumkabidhi eneo la mradi Mkandarasi Kampuni ya Shandong Luqiao Group atakayeanza ujenzi wa barabara ya Kyerwa - Omurushaka (km 50) kwa kiwango cha lami na kuuagiza Wakala ya Barabara (TANROADS) kumsimamia Mkandarasi huyo ili...
  4. Roving Journalist

    Meneja TANROADS aelezea ulipofikia mchakato wa Ujenzi wa Barabara ya Mbagala Mzinga - Kongowe - Kisemvule

    Baada ya andiko la Mwanachama wa JamiiForums.com aliyedai Barabara inayopita katika Daraja la Mto Mzinga pamoja na Daraja lenyewe maeneo ya Mbagala, Dar es Salaam ni changamoto kutokana na uchakavu na kutoboreshwa kwa muda mrefu, TANROADS imetoa maelezo. Kusoma alichoandika Mdau bofya hapa ~...
  5. Roving Journalist

    Sierra Leone yaipongeza TARURA ujenzi wa madaraja na barabara za mawe

    #Matumizi ya mawe kupunguza gharama zaidi ya 40% #Ushirikishwaji wa vikundi vya kijamii kusaidia kulinda miundombinu Dodoma Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Matengenezo ya Barabara wa Sierra Leone Bw. Mohamed Kallon ameipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini...
  6. Stephano Mgendanyi

    Serikali Kuanza Ujenzi wa Daraja la Mkili na Mitomoni Mkoani Ruvuma - Waziri Bashungwa

    Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) ipo katika hatua ya kumtafuta Mkandarasi kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa ujenzi wa madaraja mawili ambayo ni Daraja la Mkili lenye urefu wa mita 20 pamoja na Daraja la Mitomoni lenye urefu wa mita 80 ambalo litaunganisha Wilaya ya Nyasa...
  7. Li ngunda ngali

    Wachina wanataka chao ili waendelee na ujenzi wa barabara Mbeya

    Huku Serikali ikijinasibu kwa mbwembwe na mapambio kwamba haupo mradi uliosisima huko Mbeya Wachina wanaojenga barabara ya njia nne kuanzia Uyole hadi Ifisi huko Mbeya wamegoma kuendelea na ujenzi wakidai malimbikizo ya mamilioni wanayoidai Serikali. Ujenzi umesimama miezi miwili sasa.
  8. Roving Journalist

    Serikali yasaini Mkataba Ujenzi wa Barabara ya Iringa - Msembe, Shilingi Bilioni 142.5 kutumika

    Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Iringa - Msembe inayoelekea kwenye Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (km 104) kwa kiwango cha lami utakaogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 142.56 ili kufungua fursa za kiutalii, kiuchumi na kibiashara kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Utiaji saini...
  9. M

    Kimei aipa tano Serikali ujenzi wa barabara ya Himo - Makuyuni - Lotima

    Mbunge wa Jimbo la Vunjo lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei ameishukuru Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha shilingi bilioni 3.681 za kujenga barabara ya kiwango cha kisasa...
  10. S

    Mbulu kunani? Kwanini barabara ya Kilomita 75 kutoka Karatu- Mbulu ujenzi hauanzi?

    Wilaya ya Mbulu ilianzishwa mwaka 1905 wakati huo mfumo wa utawala ukiwa wa majimbo na wilaya. Mbulu ilikuwa mojawapo ya wilaya 2 ktk iliyokuwa jimbo la kaskazini iliyokuwa na wilaya za Arusha na Mbulu yenyewe. Wilaya ya Mbulu ni mojawapo ya wilaya zilizo ktk maeneo yenye rutuba kubwa. Wilaya...
  11. B

    Pre GE2025 Mbunge Samizi ahoji kuhusu fidia kwa wananchi wake na ujenzi wa Barabara ya Kibondo Townlink

    Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi Jana Jumanne Septemba 03, 2024 amesimama Bungeni Jijini Dodoma kuhoji Serikali kuhusu malipo ya fidia kwa wananchi wake wa Jimbo la Muhambwe pamoja na ujenzi wa barabara ya Kibondo Mjini ya Townlink. Mbunge Samizi...
  12. Stephano Mgendanyi

    Bilioni 2.5 Zilitumika Kulipa Fidia kwa Wananchi Waliopisha Ujenzi wa Barabara ya Kidatu - Ifakara

    BILIONI 2.5 ZILITUMIKA KULIPA FIDIA KWA WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA BARABARA YA KIDATU – IFAKARA Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi ililipa fidia jumla ya Shilingi 2,576,081,789.00 kwa wananchi 142 waliopisha ujenzi wa barabara ya Kidatu - Ifakara (km 67) ,kwa Wananchi ambao nyumba zao zipo...
  13. Roving Journalist

    Bashungwa: Tsh. Bilioni 2.5 zimetumika kulipa fidia kwa Wananchi waliopisha Ujenzi wa Barabara ya Kidatu – Ifakara

    Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi ililipa fidia jumla ya Shilingi 2,576,081,789.00 kwa wananchi 142 waliopisha ujenzi wa barabara ya Kidatu - Ifakara (km 67) ,kwa Wananchi ambao nyumba zao zipo ndani ya hifadhi ya barabara ya Mita 22.5. Hayo yameelezwa leo Septemba 3,2024 Bungeni Jijini Dodoma...
  14. Mkunazi Njiwa

    Kamishna David Kafulila na "TOLL ROADS". Fikra pevu ya ujenzi wa nchi chini ya Rais Samia Suluhu Hassan

    Tukiachana na ya Simba asiyetulia wa kule Kizimkazi... Tukiachana na "assist" 4 na goli 1 la mwamba Clatous Chota Chama,mh.David Kafulila amekuja na wazo kuntu haswa.... TOLL ROADS(barabara za kulipia). Wenzetu wa Afrika kusini wameanza kuzitumia 1983 ,leo hii mh.Kafulila kamishna wa mipango...
  15. D

    Zile barabara 8 zilizosainiwa tarehe 16.06.2023 kwa mbwembwe ziko wapi?

    Tarehe 16.06.2023 zilisainiwa barabara 8 zaidi ya Km 2200 nchi nzima, ila mpaka leo hii hakuna ht moja iliyoanza kujengwa. Ile ilikuwa ghilba? Walikuwa wanamdanganya nani, kwa faida ya nani. Tunaona Rais yuko bize na Kizimkazi, ni Rais yupi anafuatilia utekelezaji wa ujenzi wa ile mikataba...
  16. USSR

    Ujenzi wa barabara Ujerumani vs Tanzania

    Ukisikia barabara inajengwa ndio hivi sio zile zenu za moram na kushindiliwa tu, hii barabara hata ikae miaka 200 bado utaikuta hivyo hivyo sio hizi za hapa Tanzania miezi tu hakuna kitu. USSR
  17. Stephano Mgendanyi

    Dkt. Nchimbi Amuagiza Bashungwa, Ujenzi wa Barabara ya Kyerwa - Karagwe Kuanza

    DKT. NCHIMBI AMUAGIZA BASHUNGWA, UJENZI WA BARABARA YA KYERWA - KARAGWE KUANZA Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Nchimbi amemuelekeza Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kuhakikisha utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Kyerwa - Omurushaka Karagwe (km 62.5) kwa kiwango cha...
  18. Roving Journalist

    DKT. Nchimbi amuagiza Bashungwa, ujenzi wa Barabara ya Kyerwa – Karagwe uanze

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Nchimbi amemuelekeza Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kuhakikisha utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Kyerwa - Omurushaka Karagwe (km 62.5) kwa kiwango cha lami unaanza mara moja ili kuondoa adha wanazozipata wananchi wa Wilaya ya...
  19. Bila bila

    Pre GE2025 Mnaorekebisha kauli za Rais na kusema amenukuliwa vibaya safari hii mmechelewa sana, wanaostahili walipwe fidia zao

    Imekuwa kawaida Sasa Mh Rais au viongozi wa chini yake wanapotoa kauli tatanishi, za kukera au zilizo kinyume na sheria au hata katiba ya Nchi, huwa kunajitokeza wapambe kufafanua na kusema Rais kanukuliwa vibaya utadhani wao ndo wana hatimiliki ya uelewa. Pia soma Rais Samia: Mnaotudai fidia...
  20. Bushmamy

    Wananchi waweka nguvu ujenzi wa Barabara za kijiji baada ya mateso ya Muda mrefu

    Kilmanjaro;Baada ya mateso ya Muda mrefu na Bila kusikilizwa kwa kero zao za barabara wananchi wa kata ya Machame Narumu katika Wilaya ya Hai wameamua Kuweka nguvu zao katika ukarabati wa barabara zao za kijiji baada ya uchakavu wa miaka nenda rudi.
Back
Top Bottom