Habari Wana JF,
Siyo Kila anayehitaji Android App Kama ya News, Chating,Live Tv ana Haja ya yeye Kujua Programing au Coding.
Inabidi Totofautishe Kati ya Kazi na Mahitaji, Programing au Coding ni Kazi
Kama Kazi Zingine ila Kuwa na Shauku ya Kuwa na App Yako ni Mahitaji Kama Yalivyo Mahitaji...