Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.
Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja...
Huo ndio ukweli, msiwe mnatishwa na machozi ya wanawake hata siku moja.
Mwanamke ni mtu katili sana ambae anaweza kukushangaza matendo yake hadi ukaduwaa!
Fikiria mtu anabeba mimba bila kulazimishwa halafu baadae anaitoa hiyo mimba, au anazaa kabisa baadae kwa mikono yake anayonga na kuua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.