Pamoja na promo kubwa iliyofanyika kupromote makala ambayo hata Mtibwa wameshafanya, mwitikio umekuwa mdogo sana leo kiasi kwamba Yanga imeshindwa kujaza kaukumbi kadogo tu ka sinema.
Hawa watani zangu wanajua kujaza sahani za ubwabwa tu ila mengine yote yanawashinda.