Jemedali Mwabukusi amevunja ukimya. Yapo mengi yenye kutukwaza kwenye nchi na vyama hivi tulivyomo.
Kulikoni katiba mpya kutokuwa kipaumbele?
Kulikoni vyama kupewa ruzuku?
Kulikoni malipo ya kufuru kwa wabunge?
Kulikoni wagombea binafsi kuharamishwa?
Ajabu na kweli janja janja hIzi za CCM...
Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.
Je ulipo wewe umeme upo?
Pia soma;
https://www.jamiiforums.com/threads/tanesco-umeme-hautakuwepo-baada-ya-hitilafu-ubungo-2.2131550/
Kama binadaamu kuna wakati mtu unapitia magumu mpaka hujui nani wa kukusaidia hata kimawazo.
Leo nimeanzisha thread hii ili tushare mambo au changamoto mbalimbali ambazo tunapitia sisi viumbe wa Mungu.
Orodhesha changamoto na jinsi ulivofanikiwa kutatua ili umsaidie mtu mwingine huko aliko...
Habari?
Je unahitaji BUSINESS CARDS? wasiliana nami leo niweze kukufanikishia..
Business cards 100 kwa Tsh 25,000/= tu
UNAHITAJI VIPEPERUSHI?
Kwa mahitaji ya Vipeperushi pia unaweza wasiliana nami ili niweze kukufanikishia
PCS 100 KWA TSH 40,000/= TU..
Wasiliana nami:
Whatsapp/ 0765 680 241
Jana nimeanza kutafuta Generator ,biashara yangu kwa mwezi sasa imekuwa na changamoto kubwa sana ya umeme nimepata hasara ambayo siwezi kui cover kirahisi kabisa Tanesco tatizo nini jamani?
Tunaomba basi Waziri zungumza na Taifa nini chanzo umeme kuwa tatizo?
Sifikirii 2023 kupata changamoto...
Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Daniel Chongolo amekunuliwa akionyesha kutoridhishwa na utendaji kazi wa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi.
Kwa ambao hamfahamu masuala ya CCM Bashe ndani ya Chama ni Kiongozi mkubwa kuliko Chongolo na...
Target yangu kubwa ni maeneo ya mpanda nataka nianze kufanya hii biashara kusafirisha kuleta huku nilipo (niwauzie wafanyabiashara wa huku jumla)..
Naomba kujua bei ya mashineni ikoje? Au bei ya mpunga ikoje?
Mimi ni kijana umri 37, dini ni Rc.
Niko mwanza natafuta mke wa kuishi naye umri 22 mpaka 30, awe mrefu kidogo mwenye chura, sichagui dini wa kabila.
Asinipende sana bali aipende sana ndoa yake🙏.
Kila Desemba 12 ya kila mwaka, Dunia huadhimisha Siku ya Huduma ya Afya kwa Wote ambayo inalenga kutoa wito kwa Viongozi kufanya Uwekezaji wenye Tija na kuharakisha juhudi za kuelekea katika mpango wa 'Afya kwa Wote'
Katika kujenga 'Dunia Tunayoitaka', kila Mtu kila Mahali anaweza kupata Huduma...
Wengi tunaamini kwamba kila kitu kilichopo hapa duniani kina sababu ya hicho kitu kuwepo. Na hii Ikanipelekea kutafiti sababu zinazotufanya tuwepo katika hali tulionayo kwa sasa.
ZIFAHAMU SABABU (5)ZA WEWE KUWEPO ULIPO SASA.
01. UFAHAMU NA TAARIFA TULIZONAZO JUU YA MALENGO YAKO.
Ufahamu ni...
" Wenye Akili Yanga SC nzima ni Watu Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yangu Mzazi Mzee Manara waliobakia wote hawana," alisema Haji Manara alipokuwa akihojiwa na EFM Radio Kipindi cha Sports Headquarters mwaka 2021.
Baada ya Nukuu ( Kumbukizi ) hii sasa Maswali Kuntu ya GENTAMYCINE...
amani
haji manara
hatari
kabla
kiburi
manara
maswali
muhimu
nchi
rais
rais samia
samia
serikali
siku
soka
ulipo
usoni
virus
wakubwa
yako
yanga
yanga sc
yangu
Naitaji mke wa kuishi naye umri wangu miaka 37
Sifa
Awe mcha Mungu
Mwenye chura japo kidogo
Umri wake 30 mpak 34
Asinipende mimi sana ila aipende sana ndoa yake na awe tayari kuilinda kwa ghalama yoyote
Aliye tayari njoo nbox
Habari Wana JF.
Naitwa parson,
Nina umri wa miaka 35,
pombe na sigara situmii,
Kazi mjasiriamali (mdogomdogo) mwenye malengo makubwa.
Sifa ya mke nimtakaye.
Umri kuanzia 30-36
Kabila -lolote
Dini- yeyote
Rangi -Natural (asiwe wadukani)
Elimu- kuanzia kidato Cha nne mpaka chuo kikuu.
N:B Eva...
Ndivyo walivyo, asilimia kubwa ya Watanzania wakiwemo wasanii na watu maarufu wengi hawajui vivutio vya kitalii kwao viko wapi, wao wapo wapo tu siku ziende, hawaitalii nchi yao kabisa, hawana desturi kama ilivyo kwetu sisi Wakenya ambapo tumegeuza kibao kabisa, tunaitalii nchi yetu kote, vijana...
Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania. Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro.
Mwijaku amekuwa...
aibu
arusha
bongo
bongo movie
clouds
clouds fm
kilimanjaro
kubwa
kusema
mji
mlima
mlima kilimanjaro
movie
msanii
mwijaku
pekee
ulipo
utalii
wakati
watangazaji
Habari wadau,
Naomba kama una taarifa ya bei (prices) za vyakula vya kuku maeneo ulipo. Unaweza kutueleza pia bei hizo ni kwa kipimo gani, labda gunia, debe au hata kilo.
Lengo ni hasa kutambua wapi kuna fursa za kununua vyakula hivyo na kuuza. Mfano: Kwa Arusha bei ya gunia moja la Pumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.