Tanzania ni nchi yenye zaidi ya watu millioni 60 Kwa mjibu wa sensa iliyofanyika 2023 pia ni nchi yenye makabila zaidi ya 120 yenye lugha tofauti tofauti lakini yanaunganishwa na lugha Moja ambayo ni lugha ya Taifa nayo n kiswahili bila kusaau kuwa ni nchi iliyobalikiwa rasimali nyingi na...