umeanza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    Rais Samia umeanza kutuangusha kabla ya siku 100 za uongozi wako

    Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema. Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In. Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini? Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu...
  2. barafuyamoto

    Kulikoni umeme umeanza kukatika mara kwa mara?

    Habari zenu, Siku za hivi karibuni kumeamza kuwa na tatizo la umeme wa Tanesco kulatika katika ktk baadhi ya maeneo ya mkoa wa Dar. Nilianza kusahau ukatikaji wa umeme kipindi fulani. Kulikoni? Ni coincidence au ndio tunaanza kusetiwa kununua majenereta?
  3. Doctor Ngariba

    Rais Samia Suluhu umeanza vizuri lakini naomba uyafanyie kazi mambo kumi

    Amani ya M/mungu iwe nanyi waungwana wa jamii forum. Kwanza naomba kudeclare interest mimi naamini maendeleo ya mahala popote yanaletwa iwapo kutakuwa na mawzo mbadala/upinzani,hivyo hata nchi yetu Tanzania ili iweze kusonga mbele ni lazima kuwepo na mawazo mbadala au upinzani. Sasa naomba...
  4. Kasomi

    Rais Samia Suluhu umeanza vizuri mno, ukitimiza haya hakika enzi yako haitasahaulika

    MAMA SAMIA SULUHU UMEANZA VIZURI MNO, UKITIMIZA HAYA HAKIKA ENZI YAKO HAITASAHAULIKA Na Emmanuel Kasomi Kila mtu ni yeye, ameumbwa kwa fikra na vipawa tofauti kabisa na hakuna kama yeye Duniani pote. Wapo wanaomtaka Rais SAMIA SULUHU kuwa kopi ya Mtangulizi wake na wapo wanaomwambia awe Hivi...
Back
Top Bottom