Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.
Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.
Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?
Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu...
Habari zenu,
Siku za hivi karibuni kumeamza kuwa na tatizo la umeme wa Tanesco kulatika katika ktk baadhi ya maeneo ya mkoa wa Dar. Nilianza kusahau ukatikaji wa umeme kipindi fulani.
Kulikoni? Ni coincidence au ndio tunaanza kusetiwa kununua majenereta?
Amani ya M/mungu iwe nanyi waungwana wa jamii forum.
Kwanza naomba kudeclare interest mimi naamini maendeleo ya mahala popote yanaletwa iwapo kutakuwa na mawzo mbadala/upinzani,hivyo hata nchi yetu Tanzania ili iweze kusonga mbele ni lazima kuwepo na mawazo mbadala au upinzani.
Sasa naomba...
MAMA SAMIA SULUHU UMEANZA VIZURI MNO, UKITIMIZA HAYA HAKIKA ENZI YAKO HAITASAHAULIKA
Na Emmanuel Kasomi
Kila mtu ni yeye, ameumbwa kwa fikra na vipawa tofauti kabisa na hakuna kama yeye Duniani pote.
Wapo wanaomtaka Rais SAMIA SULUHU kuwa kopi ya Mtangulizi wake na wapo wanaomwambia awe Hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.