Umma (Sumerian: 𒄑𒆵𒆠ummaKI; modern Umm al-Aqarib, Dhi Qar Province in Iraq, formerly also called Gishban) was an ancient city in Sumer. There is some scholarly debate about the Sumerian and Akkadian names for this site. Traditionally, Umma was identified with Tell Jokha. More recently it has been suggested that it was located at Umm al-Aqarib, less than 7 km to its northwest or was even the name of both cities.
Mama Samia anafanya kweli, hayumbishwi hata kidogo. Hakuna tena longolongo ya kuitwa "mashirika ya umma" huku yanabaki kuwa kichaka cha wapigaji wachache. Mama amesema Arusha, mashirika ya umma yawe ya umma kiukweli, Watanzania wauziwe hisa na wawe na kauli nayo.
Kama mama Samia alivyofanya TPA...
Nimeona viongozi wa kisiasa wakizilalamikia taasisi za umma Goigoi kwamba zinakwamisha ukuaji wa uchumi kati ya asilimia 1 hadi 5 kwa mwaka. Lakini ninavyojua mimi hakuna taasisi Goigoi ila kuna wanadamu waliopewa dhamana za umma ambao watumishi hao ni Goigoi
1. Ufanisi wa hizi taasisi...
Katika mikutano ya Chadema hivi karibuni baadhi ya wahutubiaji wake kumekuwepo na viashiria vya dharau kwa vyombo vya ulinzi na usalama.
Maneno mengi ya kujilabu yalionyesha wazi kuvidharau vyombo hivyo, kwamba tu wao wamesoma sheria watatumia usomi wao kuwapiga bao vyombo hivyo.
Kukamatwa...
Mkurugenzi wa zamani wa taasisi ya usalama wa Taifa, Dr. Modestus Kipilimba amestaafu utumishi wa umma baada ya uwepo wake Namibia kama balozi kuhitimishwa rasmi na Rais Samia.
Kipilimba alihudumu kama mkurugenzi wa usalama wa Taifa kwa miaka mitatu chini ya utawala wa Rais Magufuli(2016-19)...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuujulisha Umma kuwa, haijahusika kwa namna yoyote na ufungaji wa Bar ya THE CASK iliyopo Jijini Mwanza.
Tunaomba wahusika na Umma wawasiliane na Mamlaka husika juu ya jambo hilo.
-
Pia soma
Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji...
Endapo ikatokea serikali imetoa barua na kuirusha mkutanoni lakini ikabainika ina tatizo la kiufundi kwamba mwandishi alikosea lugha ni hatua zipi ufuatwa kuiondoa mtandaoni na kuweka barua iliyo sahihi?
Lazima iandikwe barua ya kuifuta? Au ndio zile zinaandikwaga puuzeni ujumbe huu?
Je , ni...
Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa kwenye gazeti la Washington Post umesema watu ambao hugombania usafiri wana nafasi kubwa ya kuishi maisha marefu na kuepukana na baadhi ya saratani.
Kwa Dar es salaam, wakazi wa mbagala wanajulikana kwa kugombania gari na kupambana kupata nafasi ama kiti cha...
Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa wito kwa taasisi za umma nchini kujiunga na mfumo wa ubadilishanaji wa taarifa serikalini (GovESB) ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi.
Wito huo umetolewa jana Jumamosi Agosti 6, 2023 na Meneja Mawasiliano wa e-Ga, Subiria Kaswaga wakati...
Mashiirika ya umma kama vile Kibaha Education Centre yanayomiliki shule, walimu wake hutumia ngazi za mishahara za PSTS tofauti na walimu chini ya Tamisemi wanaotumia ngazi za TGTS. Mwalimu anayeanza huko kwenye mashirika huanzia PSTS 3, wakati huko Tamisemi huanzia TGTS D1 771,000/= kwa mwezi...
Mashiirika ya umma kama vile Kibaha Education Centre yanayomiliki shule, walimu wake hutumia ngazi za mishahara za PSTS tofauti na walimu chini ya Tamisemi wanaotumia ngazi za TGTS.
Mwalimu anayeanza huko kwenye mashirika huanzia PSTS 3, wakati huko Tamisemi huanzia TGTS D1 771,000/= kwa...
Serikali inapaswa kujua nini kinachotakiwa kufanyika ili kuongeza ufanisi wa mashirika yetu ya umma kama TANESCO, TTCL, ATCL, TRC, TPA, n.k. Ukichunguza sana utagundua kwa mashirika haya ambayo tayari tulishawekeza kama taifa kwenye miundombinu ya msingi hatuhitaji WAWEKEZAJI bali WAENDESHAJI...
UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA KATIKA KULETA TIJA KWENYE SEKTA YA MICHEZO NA SANAA KWA MASLAHI YA UMMA NCHINI TANZANIA
Utangulizi
Sekta ya michezo na sanaa ina umuhimu mkubwa katika kuimarisha utamaduni, kujenga umoja, na kuleta furaha kwa jamii. Kwa maslahi ya umma, uwajibikaji na utawala bora ni...
UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA: MSINGI WA MCHAKATO WA KATIBA MPYA TANZANIA KWA MASLAHI YA UMMA
Utangulizi
Katiba ni waraka muhimu unaounda misingi ya utawala na uongozi wa nchi. Mchakato wa kuandika Katiba Mpya unapaswa kujumuisha uwajibikaji na utawala bora ili kuhakikisha maono ya taifa...
UTANGULIZI 
Sekta ya umma ina jukumu muhimu katika kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Uwajibikaji wa sekta hii ni msingi wa utawala bora na ufanisi katika kutoa huduma kwa wananchi. Makala hii ina lengo la kuchunguza umuhimu wa uwajibikaji wa sekta ya umma katika kuleta mabadiliko chanya...
Edogun Mzalendo ni kijana wa miaka ishirini na minne, muhitimu wa stashahada ya sayansi ya kompyuta na mmiliki wa steshenari ndogo inayopatikana mjini Kahama.
Ni miaka miwili tu imepita toka afungue steshenari yake hiyo lakini amejizolea umaarufu mkubwa sana kutokana na kipaji chake cha...
Mbalawa ampe nafasi Rais ya kufanyia kazi jambo hili akiwa nje ya ofisi kiungwana kwa sababu ali oversee Mambo ya kumshauri RAIS Hata Kama alishauriwa na Rais pia Ila kwa Utaratibu wa kiutendaji alipaswa amshauri Rais mapema na kwa mpaka Hadi kukubali kuachia kiti kama angeona jambo Hilo si jema...
Mada: Uchunguzi wa matumizi ya fedha za umma: Je, serikali zinafanya kazi kwa manufaa ya wananchi?
Mwandishi: MwlRCT
1. Utangulizi:
Makala hii inaangazia suala la uwazi na uwajibikaji wa viongozi katika matumizi ya rasilimali za taifa. Inatumia dhana ya utawala bora, ambayo ni mfumo wa...
Nimeona clip ya Nape Nauye akifoka na kumwambia Tundu Lissu amuheshimu Rais Samia kwa kuwa ni mama yake. Sawa hatukatai kuwa kila mtu anastahili heshima na si viongozi tu wa serikali na kisiasa.
Kosa kubwa ni pale machawa wa viongozi wanataka chawa wao wasikosolewe wala kofokewa wanapofanya...
Toka sakata la Bandari lianze nimepitia na kusoma sheria nyingi sana. Nikasoma na sheria mbalimbli za nchi nyingine. Nikagundua nchi haina sheria ya Uongo na upotoshaji wa umma.
Kwa nchi ya Tanzania unaweza kwenye vyombo vya habari ukasema uongo tu ambao si wa kichochezi na usiwajibike popote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.