unesco

  1. dogman360

    Vyuo Vikuu Vilivyotambuliwa na UNESCO Tanzania

    Kwa nini Utambuzi wa UNESCO Muhimu? Vyeti kutoka vyuo vikuu vilivyotambuliwa na UNESCO vinakubalika kote duniani. Waajiri mara nyingi huthamini sifa kutoka vyuo vikuu vilivyotambuliwana unesco .sana sana kazi za mashirika ya kimataifa . Utambuzi wa UNESCO unaonyesha kwamaa chuo kinatoa...
  2. Jamii Opportunities

    Associate National Project Officer at UNESCO February, 2024

    Position: Associate National Project Officer Post Number: 6TZED 0009PA Grade: NO-B Parent Sector: Field Office Duty Station: Dar-es-Salaam Job Family: Education Type of contract: Project Appointment Duration of contract: 1 year Recruitment open to: Internal and external candidates Application...
  3. Jamii Opportunities

    Associate National Project Officer at UNESCO January, 2024

    Parent Sector : Field Office Duty Station: Dar-es-Salaam Classification of duty station: [[filter12]] Standard Duration of Assignment : [[filter13]] Job Family: Education Type of contract: Project Appointment Duration of contract: 1 year Recruitment open to: Internal and external candidates...
  4. Chachu Ombara

    UNESCO: Watoto milioni 250 ulimwenguni hawahudhurii shuleni

    Idadi ya watoto wanaokosa elimu yoyote imeongezeka kwa milioni sita, na kufikisha jumla ya watoto milioni 250, kulingana na takwimu mpya zilizotolewa Jumatatu na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi, na Utamaduni (UNESCO). Ongezeko hilo kwa kiasi fulani linatokana na kutengwa kwa wingi...
  5. J

    Katibu Mkuu Saidi Yakubu akutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi kutoka Ubalozi wa Uswisi, Hispania na UNESCO

    KATIBU MKUU SAIDI YAKUBU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAWAKILISHI KUTOKA UBALOZI WA USWISI, HISPANIA NA UNESCO. Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi kutoka Ubalozi wa Uswisi na Hispania nchini Tanzania na Wataalam...
  6. JanguKamaJangu

    UNESCO: Waandishi 86 waliuawa ndani ya Mwaka 2022

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO limesema kuwa Mauaji ya waandishi wa habari na wafanyakazi katika vyombo vya habari yaliongezeka mwaka 2022 kutoka 55 na kufikia 86 kote ulimwenguni, hiyo ikiashiria kifo kimoja katika kila siku nne. ==== === === UNESCO reported...
  7. L

    Tunisia: Mchuzi wa pilipili wa Harissa wawekwa katika orodha ya urithi wa dunia wa UNESCO

    Muuza duka anaonesha sahani ya mchuzi wa pilipili wa Harissa katika soko huko Tunis, Tunisia. Mchuzi wa Harissa unaotengenezwa kwa pilpili umewekwa katika orodha ya urithi wa dunia na Shirika la Elimu na Sayansi la Umoja wa Mataifa(UNESCO).
  8. CM 1774858

    Kinana aishauri Marine Service Co. LTD kujiendesha kibiashara. Afurahishwa na UNESCO kuiingiza MV Liemba ya Tanzania kwenye orodha ya urithi wa dunia

    KINANA ASHAURI MSCL KUJIENDESHA NA KUFIKIRI KIBIASHARA ZAIDI, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Ndg Abdulrahman Kinana ameishauri Kampuni ya huduma za meli nchini Marine Service Company Limited kujiendesha na kuanza kufikiri kibiashara ikiwemo kuomba dhamana za...
  9. Analogia Malenga

    Membe: Tuwashirikishe UNESCO katika kukuza Kiswahili

    Mwanadiplomasia Bernard Membe ameshauri serikali kukuza kiswahili ili kiweze kuwa lugha inayotumika Afrika, kwa kuwa ushahidi upo kuwa lugha ya kiswahili inaweza kutumika bara zima. Amesema UNESCO wanahela wanaweza kusaidia kukuza lugha hiyo kwa kuanzisha chuo kikuu cha kiswahili ili watu...
  10. Jamii Opportunities

    Assistant Project Officer (Communication) at UNESCO April, 2022

    Parent Sector : Field Office Duty Station: Dar-es-Salaam Classification of duty station: [[filter12]] Standard Duration of Assignement : [[filter13]] Job Family: Programme Coordination Type of contract : Non Staff Level : Level 3 Duration of contract : From 7 to 11 months Recruitment open to ...
  11. figganigga

    UNESCO: Wenyeji wa Ngorongoro Wahame. Wafanyakazi wa NCAA na Mahoteli waishi nje ya Hifadhi

    UNESCO: Wenyeji wa Ngorongoro Wahame. Wafanyakazi wa NCAA na Mahoteli waishi nje ya Hifadhi Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro si eneo ambalo ni Hifadhi ya Taifa na vile eneo hili la Ngorongoro halipo chini ya shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na badala yake ni shirika huru kama jinsi ilivyo...
  12. joto la jiwe

    Tanzania yaishawishi UNESCO kukienzi na kukieneza Kiswahili Duniani

    Mkutano Mkuu wa 41 wa UNESCO umeipitisha tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani, azimio hilo limepitishwa na Nchi zote Wanachama wa UNESCO bila kupingwa leo November 23, 2021, Paris nchini Ufaransa. MY TAKE; Kenya msije mkasema hatukuwaambia kwamba Tanzania tukiamua Jambo...
  13. Geza Ulole

    Kenya betrays Tanzania again at UNESCO's delisting campaign on Selous GR!

    MY TAKE Kama kawaida snitches kutoka Kunyaland wametu-backstab!
  14. W

    Tanzania yakataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge Selous

    Tanzania Yakataa Agizo La UNESCO La Kuitaka Kusitisha Ujenzi Wa Mradi Wa Stiegler's Gorge Katika Pori La Akiba La Selous HAMZA TEMBA - WMU Tanzania imesisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro...
  15. R.B

    Stiegler’s Gorge hydroelectric power plant said to affect World Heritage site hetitage

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waziri wa Maji, Umwagiliaji na Umeme wa Ethiopia Dkt. Seleshi Bekele na ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo iliyopo nchini kusaidia mchakato wa ujenzi wa Dam (bwawa la kuzalisha umeme) la Steigler’s Gorge...
Back
Top Bottom