unicef

  1. beth

    UNICEF: Watoto Milioni 1 hatarini kukosa Shule Nigeria

    Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Watoto (UNICEF) limesema Watoto Milioni 1 huenda wasiende Shule kutokana na matukio ya utekaji nyara yanayolenga Wanafunzi Zaidi ya Wanafunzi 1,000 wametekwa nyara na magenge ya uhalifu katika Majimbo kadhaa Nigeria tangu Desemba 2020, huku mamia bado...
  2. J

    #COVID19 UNICEF: Watoto wapewe taarifa sahihi kuhusu chanjo ya COVID-19

    Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) linasema ni vyema watu wazima wakawa na taarifa sahihi kabla ya kuzungumza kuhusu chanjo ya COVID-19 na watoto Inashauriwa pia kusikiliza maoni na mitazamo yao na kuzingatia hofu zao Ni vema wakaona wapo huru kueleza mitazamo yao kwa watu wazima...
  3. beth

    #COVID19 UNICEF: Janga la Corona ni changamoto kwa watoto masikini kupata elimu

    Kwa mujibu wa Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la UNICEF, Mtoto mmoja kati ya wanne ndiye mwenye kutumia Vifaa vya Kidigitali na Mtandao. Imeelezwa, Familia nyingi zimeuza mali zao au kuchukua Mkopo ili kununua Vifaa hivyo na kuwawezesha Watoto wao kuendelea na Masomo wakati huu wa Ugonjwa...
  4. Analogia Malenga

    #COVID19 UNICEF: Walimu wanapaswa kupewa kipaumbele katika chanjo dhidi ya COVID-19

    Majaribio ya chanjo na Pfizer na BioNtech kwa ajili ya kupata chanjo dhidi ya COVID-19BioNTech. Majaribio ya chanjo na Pfizer na BioNtech kwa ajili ya kupata chanjo dhidi ya COVID-19. Janga la corona au COVID-19 limesababisha athari kubwa katika elimu ya watoto kote duniani na kuwachanja...
Back
Top Bottom