BY JASON LEMON ON 3/15/20 AT 4:26 PM President Donald Trump has reportedly attempted to convince a German research firm working toward a coronavirus (COVID-19) vaccine to produce the life-saving treatment "only for the United States."
Reuters reported on Sunday that German government sources...
Kiswahili ni lugha inayozungumzwa na mamilioni ya watu katika Afrika na kote duniani. Ingawa Kiswahili kimeonekana kupanda chati na kuonekana kuzidi kushika kasi leo, lakini lugha hii ilshapata heshima tangu zamani. Wasanii na watu maarufu walitamani kuizungumza wakiwa na fikra kwamba Kiswahili...
Kikosi cha Jeshi cha Anga za Juu cha Marekani ambacho ni tawi jipya la Jeshi la Marekani kimefanya jaribio la kombora la balistiki la Minuteman III.
Kikosi hiki cha masuala ya kijeshi katika anga za juu kiko chini ya Jeshi la Anga la Marekani na kilianzishwa mnamo Desemba 20 mwaka jana, 2019...
Rais wa Marekani, Donald Trump mnamo Ijumaa alimuonya kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kuwa "mwangalifu sana na maneno yake," baada ya kiongozi huyo wa Iran kuitumia hotuba adimu kwa taifa hilo "kuidharau Marekani" na kulitetea jeshi la Iran.
Trump aliandika katika ukurasa wake wa...
US President Donald Trump has sent a birthday message to North Korean leader Kim Jong-un, said South Korean National Security Advisor Chung Eui-Yong.
Speaking with reporters, the official, who met with POTUS this week, said he had been given a message to pass to North Korea, which was...
Shirika la upelelezi nchini Marekani, FBI liliwakamata raia wawili wa China mwishoni mwa juma kwa kosa la kupiga picha kinyume cha sheria kambi ya Jeshi la majini la Marekani huko Florida.
Hili ni tukio la pili kufichuliwa na mamlaka hiyo, matukio ambayo yamekuwa yakitekelezwa na raia wa China...
Jeshi la Iran limesema kuwa limejipanga kutumia makombora ya masafa ya kati na ya mbali kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizopo Mashariki ya Kati ikiwa ni mpango wa kulipa kisasi kutokana na mauaji ya jenerali wa kikosi maalum cha Iran, Qassem Suleiman aliyeuawa na Marekani wiki...
In addition to securing physical structures, the Diplomatic Security Service runs simulations of protests in a model city in Virginia.
A simulated city at a State Department training center in Virginia, used to prepare defenses of US facilities overseas.
Tuesday’s attack by Iran-backed...
Haya kumekucha tena. Marekani yamtolea uvivu Kim na deadline zake. Soma hiyo.
=======
SEOUL, South Korea (AP) — A senior U.S. diplomat said Monday that Washington won’t accept a year-end deadline set by North Korea to make concessions in stalled nuclear talks and urged Pyongyang to return to a...
For the first time since the end of the INF Treaty, the U.S. Air Force has tested a ground-launched, intermediate-range ballistic missile.
A screen grab of the Dec. 12 flight test of U.S. ground launched missile.
WASHINGTON - The U.S. has tested a ground-launched, intermediate-range ballistic...
The rocket launchers were primed for action during the security scare near the president's Washington home earlier this week.
The skies over central DC have been deemed a no-fly zone since the 9/11 terror attacks which rocked the world.
Any plane not following the strict flight path into...
Former CIA agent sentenced to 19 years for conspiracy with China
Jerry Chun Shing Lee was accused of delivering secrets to Chinese intelligence officers in exchange for $840,000
A former CIA case agent was sentenced on Friday to 19 years in prison, for an espionage conspiracy with China...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.