unyama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mxrereco

    Single mother bana, tabu tupu

    Samaleko... Hiki nacho ni moja ya visa vyangu kwenye harakati zangu za kumpata mtoto wa mama mkwe. Kuna ka binti nilikutana nako miezi kama mitatu iliyopita. Siku ya kwanza tu nakaona nilipokasalimia tu, kalinichangamkia sana. Kakaniambia "ni kama nakuonaga maeneo flan" na ni kweli ndio maeneo...
  2. Wakili wa shetani

    Sema jina Young Africans limekaa unyama sana

    Katika timu zote kwenye mashindano ya CAF, jina la Young Africans ndiyo tamu zaidi.
  3. HERY HERNHO

    Sarkozy: Ulaya ndilo bara lenye ukatili na unyama mkubwa zaidi

    Rais wa zamani wa Ufaransa ameitaja Ulaya kuwa bara lenye unyama mkubwa zaidi duniani, ambako vita vya kikatili zaidi hufanyika. Nicolas Sarkozy, ambaye kwa sasa ni mjumbe wa Baraza la Katiba la Ufaransa, amesema: "Hatuko katika Zama za Kati, bali katika karne ya 21. Tuko katika bara la Ulaya...
  4. M

    Meya ashuhudia unyama unaofanyika uwanja wa fisi

    Mstahiki Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge ametoa wito kwa jamii kuacha kutumia ngono kama kazi, akisema ni kinyume na sheria za nchi. Akiongea kwenye kipindi cha SupaBreakfast, Meya Mnyonge amesema asilimia 30 tu ya kondomu zinazowekwa kwenye maeneo ya biashara zinachukuliwa na kutumiwa na...
  5. Makonde plateu

    Nimefanikiwa kununua simu ya galaxy S23 plus na ford ranger ndoto yangu imetimia

    Ama hakika pesa ni sabuni ya roho ukiwa na pesa unaweza kuhamisha mlima kilimanjaro kutoka kilimanjaro na kuupeleka mtwara sio kitu kabisa kabisa Nimefanikiwa kununua gari ya ndoto yangu Ford ranger kutoka moja kwa moja state nimeagiza moja kwa moja na pia nimefanikiwa kununua simu kali ya...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Unyama wa Walimu, Serikali imulike ukatili wa walimu dhidi ya wanafunzi mashuleni

    Walimu hawana utu wala huruma, sasa wameamua liwalo na liwe. Piga, uwa, garagaza. Hawajali tena namna ya upigaji, mtoto wa kike apigwe mkononi, wa kiume matakoni. Walimu wanapiga ngumi wanafunzi utadhani wako kwenye tamasha la Karate. Wanawazaba watoto vibao vya uso, ukatili mbalimbali...
  7. and 300

    Bedford: Unyama mwingi

    Hii kitu tumeipanda tuliosoma Boarding public schools. Kapotezwa na kina Yutong ujinga mwingi
  8. Mwamuzi wa Tanzania

    Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

    Habari! Miaka 5 hivi imepita tulikuwa tukikemea mambo fulani mtandaoni. Kitendo cha serikali yenye zaidi ya vyombo sita vya usalama na haki kujichukulia sheria mkononi. Serikali ifuate procedure katika kila zoezi, kama sheria itamtia mtu hatia na kuhukumiwa kuuawa auawe, kama itamfunga jela...
  9. Dong Jin

    Marioo kashashindikana! Unyama alioufanya kwenye Dear Ex nimemnyooshea mikono

    Nisiwe na maneno mengi hebu usikilize afu utoe maksi zako
  10. Stuxnet

    Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

    Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21.
  11. S

    Ukraine yalalamika Russia kutumia makombora hatari ya thermobaric rockets, wachambuzi wa silaha wa USA wasema huo ni 'ukatili'

    Ukraine inalalamika kuwa Russia inatumia silaha nzito mno, TOS-1A Thermostatic Rockets (vacuum bombs), ktk mapigano huko Donetsk. Kwa mujibu wa Marekani, silaha hizo ni special kwa kuangamiza ngome za kijeshi zilizo kwenye mahandaki chini ya ardhi na maadui waliojificha kwenye bunkers. Silaha...
  12. B

    Raia wa Malawi walalamika kufanyiwa unyama Tanzania

    20 May 2022 Dar es Salaam, Tanzania Kufuatia mfululizo wa vitendo vya kikatili dhidi yao, raia wa Malawi walalamika juu ya baadhi ya waTanzania kuwafanyia ukatili ukiwemo mfululizo wa mauaji. Wakielezea kwa uchungu kuwa sasa sifa ya waTanzania inaanza kuchafuliwa na vitendo hivyo vinavyofanywa...
  13. Memtata

    Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

    Kisa kilianzia miaka 20 na iliyopita, nilikuwa na mpenzi wangu mmoja (nilikuwa kijana muaminifu sana kwenye mahusiano). Tulikuwa kwenye mahusiano kwa muda lakini tulikuwa hatujaoana, kwao walinijua na kwetu walimjua. Baada ya mahuasiano ya muda mrefu huyu binti aliugua muda mfupi na kufariki...
  14. M24 Headquarters-Kigali

    ISUZU Bighorn: Unyama mwingi

    Anayetaka gari ya kazi achukue hii ISUZU Bighorn, 3,050cc, diesel, 234,000 kms. Gari ngumu Sana na ipo juu inapita popote . Bei 2,500 USD (CIF) mpaka Bandarini Dar
  15. MAHANJU

    Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

    Hi Kamanda! Kamanda Malisa pole na hongera sana kwa kazi ya Utume unayoifanya ya kuihudumia jamii ya Watanzania. Mungu akulipe kila lililo jema. Kamanda Malisa mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Singida Wilaya ya Ikungi kutoka Kijiji cha Minyughe. Tuna ndugu yetu aitwaye Petter Mtinangi ambaye alikua...
  16. Kichwamoto

    Job Ndugai ulimnanga Lissu; sasa jitokeze utuambie legacy yako ni ipi

    Hello JF Niende kwenye mada straight, ni wakati muafaka Jobo Ndugai aweke hadharani legacy yake ya uspika na ya kibunge huko kongwa sambamba na oanisho la kumnanga ndugu Lissu kuhusu ubunge wake wa miaka10 huko Singida Mashariki kwamba hakuacha legacy yoyote. Baada ya kuachia kiti cha uspika...
  17. M

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Katika vitu ambavyo huwa navipa kipaumbele basi ni kuzamia chumvini wanawane. Ila umkute demu anajua kupakwosha kule. ...unaweza kuzama ukaibuka na magugumaji. Sasa napenda kujua madhara yake. =====
  18. Erythrocyte

    Mdude Nyagali atunga kitabu kuhusu Mateso na unyama aliofanyiwa kwenye Utawala wa Awamu ya 5, kuzinduliwa Machi 5, 2022

    Kama ungependa kufahamu namna awamu ya 5 ilivyosigina HAKI ZA BINADAMU nchini Tanzania, basi hutakiwi kukosa nakala ya kitabu kilichotungwa na Mhanga namba 5 wa Utawala ule aitwaye Mdude Nyagali, ndani ya kitabu hicho mmefunuliwa kila unyama na uchafu wote uliofanywa katika kusigina katiba ya...
  19. W

    Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa TAMISEMI na IGP

    BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, MHESHIMIWA GEORGE SIMBACHAWENE (MB), WAZIRI WA TAMISEMI MHE UMMY MWALIMU PAMOJA NA IGP SIMON SIRO Waheshimiwa viongozi. Shikamoo Waheshimiwa viongozi Nawasalimu kwa Jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania " kazi Iendele"Poleni kwa majukumu makubwa...
Back
Top Bottom