Shule zote zina watu ambao huonea wengine iwe kwa matusi, vipigo, vitisho, uharibifu, ngono n.k.
Athari za huu uonevu ni mkubwa sana kwa anayeonewa, Wazazi hatukai na watoto na kujua nini kina waathiri au nani huwaonea.
Je, tufanyeje kuondokana na hii hali?
NB:. Binafsi nimemwambia mtoto...