Habari za asubuhi,
Leo ndio tar 27, kuna mwombaji wa mkopo yoyote yule ambaye amepata update kwenye dirisha la tatu? Kwa ndugu yangu ngoma bado mbichi.
Yani hizi updates za Jamaa kugongewa na kuchapiwa zinachagamsha jamvi kichiz na kusisimua.
Watanzania tunafurahiiii nakusahau shida zetu.
Naomba tu hili saga liendelee hadi krismas huko watu tuenjoy maumivu ya wengine kwasababu huu mlo mmoja kwa siku wengi tunaupata bila kusindikizwa na umbea...
TRA mnakumbuka hii kauli ya Rais? Mmefikia wapi? Jana nimesikia TRA kwa upande wa kodi ya majengo wamepata msamaha wa riba kuanzia July hadi December. Mbona kwa wafanyabiashara zingine hatusikii kauli ya TRA? Mnangoja nini?
wazee wa kazi nimesikia google wanafaya mabresho yao kwenye searching engine algorithm, mwenye kuelewa vizuri hii issuee, maana wanasema wale wanaoblog kachumbari, wanakula ban, wanaopost maelezo yasioeleweka kisa kuvutia watu wanakula ban na mengine mengi tu... nakaribisha hoja
Watu wenye Silaha wamewaachilia huru "bila kujeruhiwa", Watawa 4 wa Kikatoliki waliotekwa nyara mapema wiki hii katika jimbo la Imo Kusini-Mashariki mwa Nigeria.
Msemaji wa Polisi katika eneo hakuweka wazi iwapo kuna malipo yalifanywa kwa Watekaji ili kuwaachia huru Watawa hao.
---
Nigerian...
Mpingo ndio unafaa kwa kuchonga kinyago. Hivyo hivyo,tukitaka kujenga Taifa lazima kwanza tuwe na watu wanaoridhia kuwa Taifa moja.
Vinginevyo, mahusiano katika Taifa yanakuwa kama ndoa ya kulazimishwa.
Modern state inahitaji Kiongozi awe mmoja tu katika mioyo ya watu. Nilipokuwa China, wakati...
Salaam Wakuu,
Kusasisha simu ni hali ya kukubali/ kuruhusu mabadiliko ya mfumo wa simu au App iliyo katika simu au kifaa cha kijidijalikwenda katika mfumo mpya. Mabadiliko haya yanaweza kufanyika kwenye vifaa vingine vya kidijitali iliwamo Computer Smart TV na android TV. Mada hii itajikita...
Kutokana na maoni ya wadau mbali mbali jukwaani hapa pamoja na forum mbali mbali kama BETA BLOCKER/BISOPROLOL WITHDRAWAL FORUM, Leo nimeamua kuacha hizi dawa kwa kufanya yafutayo.
1. Kwanza ifahamike kwamba mwanzoni nilikua nameza kidonge kizima cha NEBIVOLOL chenye 5MG, na badae nikapunguza...
Habari waungwana wa jf.
Taarifa nying kuhusu mikopo kutoka Taasisi za kifedha nchini ( Bank) ni za muda Sana.
Binafsi nafikiria kwenda kuomba mkopo CRDB au NMB.
Naomba maoni kutoka kwenu wadau juu ya Mambo Kama.
1. Riba.
2. Masharti.
3. Ubora wa huduma n.k
Mkopo ninaoomba dhamana...
Russian leader Vladimir Putin is "very ill with blood cancer' it has been reported. An oligarch with close links to the president has reportedly been recorded as giving the information during a conversation with a Western venture capitalist.
There have been a number of claims about Putin's...
Hola chicos
Siku za hivi karibuni nimepatwa na changamoto moja ambayo imenifanya nisifurahie kabisa PC yangu. Hii PC ni Lenovo Thinckthentre M93 All in One ila kioo chake ambacho kilikuja full kikiwa combined na CPU kilipasuka.
Baada ya kupasuka ikanibidi nitafute kioo kingine ambapo kwa...
Habari kwa mliofanya interview ya custom assistant naomba kufahamu ni maswali gani yametoka mimi sijafanya sababu nilipoteza kitambulisho cha taifa nina copy na lost report lakini wamekataa
jana ilidownload mpaka 100 asilimia kufika hapo ikaganda tu
leo ndio imekaa tu 0 asilimia wala haisogei
naomba msaada maana hata bluestacks emulator imegoma kufunguka nahisi tatizo ni hili na nilitumiwa vitu muhimu sana whatsapp navihitaji sana lakin bluestacks haifunguki tena,yaan hata sielew...
Kampuni ya Samsung wameachia updates ya os ya Android 12 ama UI 4 kuanzia tarehe 15 mwezi huu kwa simu za Samsung Galaxy S21 Ultra. Ila hii updates ilianzia huko Marekani, Ulaya na Korea Kusini kwenyewe.
Naona kadri siku zinavyoenda inasambaa kwa mataifa mengine. Leo mimi simu yangu imepata...
Enyi Mitandao ya simu Tz ebu kueni basi na huruma, hata kama ni shinikizo kutoka serikalini kunyonya tozo vilivyo, Onyesheni basi kutujali sisi wateja wenu
Sio nanyie kuendelea kutubana kwa kuondoa baadhi ya bando, kuongeza bei za bando nk.
Haswa tukiwa tunakimbizana na dunia, kwenda sambamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.