updates

Windows Update is a Microsoft service for the Windows 9x and Windows NT families of operating system, which automates downloading and installing Microsoft Windows software updates over the Internet. The service delivers software updates for Windows, as well as the various Microsoft antivirus products, including Windows Defender and Microsoft Security Essentials. Since its inception, Microsoft has introduced two extensions of the service: Microsoft Update and Windows Update for Business. The former expands the core service to include other Microsoft products, such as Microsoft Office and Microsoft Expression Studio. The latter is available to business editions of Windows 10 and permits postponing updates or receiving updates only after they have undergone rigorous testing.
As the service has evolved over the years, so has its client software. For a decade, the primary client component of the service was the Windows Update web app that could only be run on Internet Explorer. Starting with Windows Vista, the primary client component became Windows Update Agent, an integral component of the operating system.
The service provides several kinds of updates. Security updates or critical updates mitigate vulnerabilities against security exploits against Microsoft Windows. Cumulative updates are updates that bundle multiple updates, both new and previously released updates. Cumulative updates were introduced with Windows 10 and have been backported to Windows 7 and Windows 8.1.
Microsoft routinely releases updates on the second Tuesday of each month (known as the Patch Tuesday), but can provide them whenever a new update is urgently required to prevent a newly discovered or prevalent exploit. System administrators can configure Windows Update to install critical updates for Microsoft Windows automatically, so long as the computer has an Internet connection.

View More On Wikipedia.org
  1. FT: Singida BS 0 - 2 Yanga S.C | NBC Premier League | Liti Stadium| 04.05.2023

    Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Singida Big Stars katika mchezo wa wa ligi ya NBC.. Ikumbukwe katika mchezo wa awali Yanga waliibuka na ushindi wa magoli 4-1 Je nani ataibuka mshindi? 00" Mpira umeanza 03" Mzize anapiga shuti...
  2. P

    FT| NBC | Namungo 1-1 Simba Sc | Majaliwa Stadium | Mei 3, 2023

    Mechi ni saa 1 usiku Kuna mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha leo na kile cha mwisho kilichocheza kule Morroco Pamoja na hoja ya kuwapumzisha wachezaji lakini mtu kama Moses Phiri kukosekana hata benchi kunaongeza maswali. Kibu D naye mechi hii kaikosa. LIGI KUU: SIMBA YASHIKWA, YAZUIWA...
  3. Tafadhali niko mbali naombeni 'Updates' za Msiba wa Mzee Nimrod Elirehema Mkono

    Hasa hasa nataka kujua ni lini Mwili wake unaingia kutokea huko Jijini Boston nchini Marekani alikokuwa na alikofia. Na pia kama ukifika nataka kujua je, utapelekwa moja kwa moja Mortuary Lugalo au Kwake Masaki kwa taratibu zingine Kuendelea? Tafadhali kama utapelekwa Kulala Mortuary ya Lugalo...
  4. CAF Champion league: Raja Casablanca Vs Al Ahly | Updates

    Mpira umeshaanza tayari kila timu zinatafutana
  5. Nawezaje kupata updates za matukio yajayo Tanzania?

    Habari. Kwa wenye kujua ni namna gani ya kupata ratiba za matukio kama matamasha, makongamano, na events mbalimbali zinazohusiana na maswala yote ya sanaa na utamaduni, matukio mfano wa mbio za marathon, uchangiaji damu, n.k Msaada wenu wakuu, kwa wenye kujua njia za kufahamu ratiba za matukio...
  6. FT: Young Africans SC 5-0 Kagera Sugar | Ligi Kuu Bara | Azam Complex | 11-04-2023

    Karibuni katika mtanange mwingine wa NBC Premier League kati ya mabingwa watetezi Young Africans SC dhidi ya Kagera Sugar FC katika dimba la Estadio de Azam Complex muda wa saa moja kamili usiku Kikosi cha Young Africans 👇👇👇 ▪️Vikosi vinaingia uwanjani hapa ▪️0' Mpira unaanza ▪️03' Mayele...
  7. Uzi maalumu wa updates za Rivers United vs Dar es Salaam Young Africans

    Wakati tukisubiria mbugi la kisasi kati ya miamba ya Nigeria na Mabingwa wa kihistoria walioshindikanika hapa Bongo, Nitakuwa nakuletea on hand updates za timu hizi mbili ili ujue kiwango cha mpira cha kila mmoja 📌1)Dar Young Africans walicheza Jana mechi ya Kombe la Azam na kuibuka na ushindi...
  8. Nipo jukwaani leo nitoe senario Moja. Nitakuwa naleta updates

    Salam Sana kwenu. Nianze Kwa kifupi. Nimekuwa na Umri wa 40s na napendelea kula beer wkt wa weekend. Nikiwa bar Moja nilikwaruzana na Mtu mmj si mara moja. Kw kuwa ninamiliki chuma siku Moja nikaandika kwenye karatasi nikiwa ndani ya chumba Changu cha kujisomea nikiwa nimeshika chuma, wanaojua...
  9. FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

    Mchezo ni saa 16:00Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewa Timu zinaingia uwanjani Mchezo unaanza 1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri 3'Goooooooooo Jean Baleke anafunga goli kwa kwanza kwa Simba licha ya kubanwa na walinzi 7' Goooooooooo Baleke anafunga goli la...
  10. Mlioko nchini Mali mbona hamtupi Updates zenu za Mganga wenu Kuzuiliwa tena Airport kama kule Tunisia?

    Si huwa mnasema kuwa Simba SC tu pekee ndiyo Walozi ( Wachawi ) kwa Soka la Tanzania? Na akirejea Tanzania mtatuambia hayo Manyoya ya Sungura na Bundi aliyabeba ya nini kwenda nayo nchini Mali. Tukutane baada ya Mechi Usiku Ok?
  11. M

    Leo Presha imenipanda siwezi Kutizama Mechi ya Simba na Vipers, ila mlioko hapa mtanipa Updates

    Na kwa jinsi Presha ilivyonipanda kama Simba SC haitoshinda leo au hata ikitoka Sare/Suluhu tu naweza Kulazwa ICU. Ninaitakia tu Kila la Kheri Simba SC.
  12. FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

    ⚽️ US Monastir🆚Young Africans SC 🗓 12 February 2023 ⏱ 11:00 Jioni TUN | 01:00 Usiku TZ 🏟 Uwanja wa Rades, Tunis 🏆 CAFCC Kikosi cha Yanga Usiku wa deni haukawii. Hatuondoki hapa mpaka usiku mnene tukifurahi ushindi Timu zinaingia uwanjani Mchezo umeanza 2' Yanga wameanza kwa kasi, Kisinda...
  13. Leo Kibaraka wa CCM mzee Lipumba alikuwa na mkutano hapa Dar, mbona hatupati updates?

    Leo yule kibaraka wa CCM alikuwa na mkutano wa hadhara hapa dar, je alikuwa na jipya lolote? CCM walikuwa wanamjazia watu ili ionekane bado yuko hai kisiasa na chama chake. Kwa wale walihudhuria huo mkutano hebu watupe nini aliongea, na mahudhurio yalikuwaje?
  14. Live Updates: Simba Sc-Wenye nchi tunaiweka nchi mbele

    Maandalizi yote ya tukio letu yamekamilika. Muda mfupi kutoka sasa tukio la wenye nchi tukiiweka nchi mbele litaanza. Tunakwenda kuzindua jezi za Simba za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tumepata baraka zote kutoka kwa mdhamini mkuu M-Bet."- Semaji la CAF Ahmed Ally.
  15. uzi maalumu wa kupeana updates kwa tulioomba fursa za mafunzo ya kilimo bihawana

    Husika na kichwa cha habari hapo juu, huu uzi ni maalum kwa wale walio omba mafunzo ya kilimo kwa vijana, yatakayofanyika Bihawana Dodoma. Mpaka dirisha linafungwa vijana 16 elfu walikuwa washatuma maombi source, Kituo cha bihawana kina uwezo wa kuchukua vijana 74 source, mwenye updates...
  16. Mbona Chama cha Umoja Party kipo kimya?

    Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu? Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani. Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa. UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama...
  17. Countdown: Naomba niwe napewa updates za deni la taifa hadi litakapofika Trillion 100

    Kwa heshima zote naomba kila itakapopatikana taarifa ya deni jioya lataifa, tuwe tunapeana taarifa on a step by step basis hadi deni litakapofika Trillion 100. Pia napendekeza ile siku deni letu linagonga Trillion 100 tuweze kuangalia miradi mbali mbali iliyokamilishwa kwa mikopo iliyosababisha...
  18. Dnata any updates?

    Habari naomba kuuliza Hawa ndugu zetu Dnata wanachukua mda gani kuita watu kwenye Interview maombi tulituma tokea December 5 Mpaka sasa kimya.
  19. Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

    FULL TIME: Yanga inafanikiwa kufuzu Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza 89' Bakari Mwamnyeto anaingia anatoka Morrison 88' Wenyeji wanaonekana kama wamkata tamaa, wanapata kona 80' Yanga wameanza kucheza vizuri zaidi, wanamiliki mpira Azizi Ki...
  20. UEFA Champions League draw hatua ya 16 bora 2022

    Paris Saint-Germain vs Bayern Munich Inter Milan vs FC Porto Borussia Dortmund vs Chelsea Eintracht Frankfurt vs Napoli! AC Milan vs Tottenham Liverpool vs Real Madrid Club Brugge vs Benfica RB Leipzig vs Manchester City
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…