Naona contro numbers kwa ajili ya kulipia ada ya internship zimeanza kutolewa. Ila ada yenyewe ni kali mno i.e 175,000/=. Waliopata control number na kulipia wameshaanza kuomba vituo. First come first serve! Ukichelewa unakuta kituo ulichokitaka kimeshajaa!! Changamkeni!!
Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho.
Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye Novemba 9, 2022.
Mshindi wa hapo atapata nafasi ya kuingia katika Hatua ya Makundi ambayo inatarajiwa...
Ni siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu sana na mashabiki hapa Tanzania, kule Angola na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Mnyama mkali anashuka dimbani akiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao matatu kwa moja ugenini.
Anaenda kumaliza ngwe na kuingia hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa wa...
1. Je "uvuli wa mauti ukoje? ie bado marundo yao njiani/barabarani?
2. vizuizi vikoje? ie from one uvuli to another uvuli
3. Ajali vipi?
4. Discipline ya madereva vipi?
........................................................................................
By the way
1. Vikoba vya laki kwa wiki...
Mashabiki makini wa Simba SC Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums.
Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea kumininika Uwanja wa Mkapa.
Simba tutatambulisha kikosi hatari na benchi la ufundi katika msimu wa...
Maeneo mbalimbali Nchini yanatarajiwa kuwa na Hali ya Baridi, ikielezwa Mkoani Mbeya kiwango cha chini cha joto kinatarajiwa kufikia 10°C, Iringa 11°C, Arusha 14°C, Njombe 06°C na Dar 19°C
Utabiri wa TMA kwa saa 24 zijazo umetoa tahadhari ya vipindi vya upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa...
Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu kwenye Tarafa ya Loliondo.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema kwamba kifo hicho kilitokea Juni 10 alasiri, na...
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258
Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022
Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita.
Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa...
bei
bei juu
bei mpya
bei ya mafuta
bei za mafuta
ewura
hizi
kadhia
kibajaji
kutumika
macho
mafuta
mei
mpya
parking
petroli
picha
tuungane
updates
wahuni
yaipiku
yangu
Ikiwa imesalia miezi michache kwa kombe la Dunia mwaka 2022 kuanza, leo hii itafanyika Droo ya hatua ya makundi ya michuano hiyo mjini Doha. Droo hiyo itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa...
Naomba kuanza kwa kuweka bei za mazao mbalimbali kwa mkoa wa Iringa kwa mwezi February.
1. Mchele super Tsh2000-2200/ kg
2. Mahindi Gunia Tsh 70,000
3. Maharage ya njano Tsh2000/kg
4. Vitunguu Tsh 210,000 kwa gunia la debe 8
5. Nyanya kwa tenga Tsh 20,000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.