upimaji

  1. J

    Chongolo azibana Wizara mbili upimaji wa Ardhi

    CHONGOLO AZIBANA WIZARA MBILI UPIMAJI WA ARDHI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo ameitaka Wizara ya TAMISEMI na Wizara ya Ardhi kuweka malengo kwa kila Mkurugenzi, Makatibu Tawala wa Mikoa kuhakikisha wanayatambua maeneo yote na kuyawekea programu ya kila mwaka...
  2. kidadari

    Ukweli kuhusu kampuni ya upimaji na uuzaji wa viwanja ya Cdqlink investment company

    Nimeifuatilia hii kampuni kwa kweli inauza viwanja kwa bei rafiki na wanaruhusu kulipa kidogokidogo ila changamoto inakuja kwenye page yao wanayotumia ya instagram wamelimit coments kiasi wateja hawawezi coments zaidi ya kuwasiliana kwa namba za simu tuu. Kampuni inajitanabaisha kua...
  3. B

    Iramba wanunua kifaa cha kisasa cha upimaji ardhi na urasimishaji makazi

    Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida Mhe Suleiman Yusuph Mwenda siku ya Septemba 23, 2021 amezindua kifaa cha kisasa cha upimaji wa ardhi kiitwacho DGPS S86 RTK chenye uwezo wa kutembea Km 30. Akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa kifaa hicho, Mhe Mwenda aliwapongeza kwa pamoja Mwenyekiti...
  4. muzi

    #COVID19 Waziri wa Afya upimaji wa COVID-19 Airport ni kero. Gharama sijui unafanya kazi gani?

    Tanzania tunatia aibu, nimesafiri kwenda nje nikapimwa na kupewa certificate na kulipa pesa. Baada ya kufika nje nilionyesha certificate wakagonga muhuri nikaendelea na shughuli zangu. Baada ya kumaliza pilika pilika nikapima kule nje baada ya kufika Dar eti wanalazimisha kupima tena...
  5. Rahma Salum

    Je, wajua gharama za upimaji wa vinasaba (DNA) nchini Tanzania?

    Gharama za upimaji wa vinasaba kwa Tanzania ni shilingi laki 1 kwa sampuli ya mtu mmoja. Hii inamaanisha kuwa kwa sampuli za watu 3, yaani baba, mama na mtoto gharama itakuwa jumla ya shilingi laki 3.
  6. Rahma Salum

    Nafasi ya Mamlaka kwenye mchakato wa upimaji wa Vinasaba vya Binadamu (DNA)

    Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, misingi ya Sheria ya Usimamizi wa Vinasaba namba 8 ya mwaka 2009 inaeleza umuhimu wa kushirikisha upande wa tatu Upande huo huweza kuwa Jeshi la Polisi, Mahakama, Mwanasheria au Ustawi wa Jamii Mamlaka hizo huandika...
  7. Analogia Malenga

    Marekani yatakiwa kupunguza upimaji COVID19

    Wakati huo huo, Rais wa Marekani, Donald Trump amewataka maafisa wa afya kupunguza kasi ya kuwapima watu virusi vya corona. Akizungumza katika wa kuzinduliwa kwa kampeni yake kuwania kuchaguliwa tena kwenye uchaguzi wa Novemba, Trump amesema maafisa wa afya waachane na mpango huo kwani...
  8. Bonge La Afya

    Fahamu upimaji wa Virusi vya Corona Maabara

    Na Festo Donald Ngadaya Twitter, Instagram and Facebook @FestoNgadaya Mwezi wa kwanza mwaka huu shirika la afya la dunia (WHO) lilitanganza covid-19 kama janga la kidunia (global pandemic). Toka hapo kumekuwa na miongozo tofauti tofauti ya upimaji wa virusi vya corona maabara. Covid19 ni kifupi...
  9. Influenza

    Ripoti ya Uchunguzi wa Maabara: Mashine moja ilikuwa na hitilafu. Upimaji wa COVID19 umehamishiwa katika Maabara mpya iliyopo Mabibo

    Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa ripoti ya Uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na kueleza mambo kadhaa yaliyogunduliwa na Kamati teule ya Uchunguzi Amebainisha kuwa Kamati imegundua uwepo wa Mapungufu katika mfumo wa kimuundo, kiutendaji na uendeshaji wa kitaaluma katika upimaji wa...
  10. F

    Magufuli, kama mwanao aliumwa Covid-19? Ulijuaje na wewe hukubaliani na vipimo na upimaji ulishasitishwa? Kama alipona ulijuaje hana virus? Confusion!

    Hotuba ya Magufuli ilikuwa ya hovyo, very controversial and contradictory...Nimeshangazwa na jinsi alivyokuwa akijichanganya. Mwanzo Upimaji nchini Tanzania ulisimamishwa kwa kisingizio kuwa wakipima wengi wanakuwa positive...Je mtoto wake rais ni katika hao False positive, kama rais anaamini...
  11. mimitungi

    USA mswaada wa Sheria H. R. 6666 na Microsot chip 060606, Je? Ni mwanzo wa upimaji wa Corona kinguvu duniani?

    Malengo yake ni: To authorize the Secretary of Health and Human Services to award grants to eligible entities to conduct diagnostic testing for COVID–19, and related activities such as contact tracing, through mobile health units and, as necessary, at individuals’ residences, and for other...
  12. M

    Mikoa yenye maambukizi makubwa corona iwekewe quarantine na vizuizi vya upimaji

    Naishauri serikali, kuwepo na gates kwa ajili ya kupima wasafiri waingiao na watokao katika mikoa hiyo. Mfano Dar, gate za upimaji abiria wote ziwekwe kwenye njia zote za mabasi yaingiayo na kutoka Dar, hali kadhalika kwa mikoa yote, hii itasaidia kufanya mass testing na kuzuia uenezi kwenye...
  13. R

    Tujielimishe kidogo: Upimaji wa Corona Virus kupitia kwenye "damu"...

    EDI™ Novel Coronavirus COVID-19 ELISA Kits Enzyme Linked Immunosorbent Assays (ELISA) for the qualitative detection of the COVID-19 IgG and IgM in human serum. Overview The 2019 Novel Coronavirus (COVID-19) is a single-stranded RNA coronavirus. Comparisons of the genetic sequences of this...
  14. S

    Naomba tujadili kuhusu Ada ya upimaji viwanja

    Habari Wadau wa JamiiForums, leo nawaletea hoja ambayo imekuwa changamoto hasa kwa wananchi kuhusu tozo ya upimaji wa ardhi katika maeneo mengi Tanzania. Kuna maeneo ambayo yamepimwa na Halmashauri na baada ya Halmashauri husika kushindwa kulipa fidia kwa Wananchi, Uamuzi ulitolewa wananchi...
  15. GENTAMYCINE

    Je, ni kwanini upimaji wa DNA umeongezeka sana kwa Mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro na Morogoro pekee?

    Nina Jirani yangu Mmoja ana Watoto Saba ( 7 ) ila hakuna hata Mmoja amefanana nae achilia mbali hata Kufanana na Wazazi wake na Ndugu zake lakini anawapenda kweli kweli. Yaani Mimi nizae na Mwanamke Watoto Saba ( 7 ) kama hao halafu hata Mmoja hajafanana nami kwa chochote kile huyo Mwanamke...
  16. Gama

    Upangaji na upimaji wa viwanja vya makazi jiji la Dodoma ni maslah ya nani?

    Ninatazama jinsi mji wa Dodoma ulivyopangwa na namna viwanja vya makazi vinavyopimwa kwa masikitiko makubwa. Viwanja vingi vinavyopimwa ni vidogo mno kwa mahitaji ya makazi ya kizazi cha sasa. Ninachojiuliza: uchafu huu unafanywa kwa maslah ya nani?
  17. M

    Zoezi la Urasimishaji wa Ardhi - namna zuri ya kuliongezea uharaka na ufanisi

    UTANGULIZI: Kwa muda sasa serikali imetangaza kuendelea na zoezi la urasimishaji ardhi kwa maeneo yasiyopimwa (squatters). Kufanikisha hilo, serikali imekuwa ikishirikiana na makampuni binafsi ya ardhi kufanya sehemu kubwa ya kazi hizo. Watu katika kampuni hizo wanalipwa kutoka kwa michango ya...
Back
Top Bottom