Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)
Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....
Hii...
Usijifanye kua mwenye huruma kuliko Yesu au Nabii wa Mungu kuna watu Mungu amekuepusha usiwe nao katika maisha yako watakufanyia makubwa zaidi na walio kutendea mwanzoni, jifunzeni kukinai bila kutumia chuki.
Watu wengi wamekufa au kufilisiwa mali baada ya kujifanya wana huruma wa kusamehe na...
Hii ni Sheria ya 15 kati ya Sheria 48 za mamlaka zilizoandikwa na mwandishi ROBERT GREENE katika kitabu chake kiitwacho THE 48 LAWS OF POWER. Sheria hii imesema; CRUSH YOUR ENEMY TOTALLY, yaani mponde adui yako ipasavyo.
Bila shaka mtu anayejitafuta kwenye maisha ni lazima awe na maadui. Kama...
Katika maisha tangu tunakua mpka tunafikia hatua ya utu uzima tunakutana na watu wa aina mbalimbali,miongoni mwao wanakuwa ni marafiki wetu wakubwa sana lakini kutokana na changamoto za hapa na pale tunajikuta tumehitilafiana pakubwa na kila mtu anashika 50 zake.
Mimi nilikuwa na rafiki yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.