urais 2015

  1. S

    Dkt. Mwigulu uliutaka Urais 2015, uwaziri wa fedha ni kipimo tosha cha uwezo wako kiuongozi

    Suala zima la migomo Kariakoo linahusu masuala mazima ya kodi, liliibuka mwaka jana likazimwa kisiasa likaibuka tena mwaka huu na linazimwa kwa mbinu zile zile za kisiasa. Linaacha ukakasi kwa wote wenye kutafakari kila suala kwa kina. Linakuja na kuondoka likiwa na haki kabisa ya kumuondoa...
  2. M

    Mdahalo wa Wagombea Urais Zanzibar: Septemba 20, 2015 #Mkikimkiki

    Shiriki kwa kutuma swali lako hapa JamiiForums kwa ajili ya kuwatumia viongozi watakao shiriki mdahalo hapo kesho Tarehe 20, September 2015. Mkikimkiki‬ iko Zanzibar wiki hii na wamealika wagombea urais wa vyama vitano ambavyo ni CCM, CUF, ADC, CHAUMMA na ACT-Wazalendo Kushiriki ni...
Back
Top Bottom