Baada ya kauli mzee kuonya kile chombo kikubwa kilichobaki kisijiingize kwenye mambo ya kisiasa baada ya wadogo zao kuonekana wanatumika kisiasa japo wengi wao hawapendi bali ni kuagizwa tu.
Sasa, siku watu wale wakitangangaza maandamano, je, wale wakubwa watatangaza nao kufanya usafi?
Naona...