The United States Armed Forces Institute (USAFI) was an educational organization that was part of the United States Armed Forces. It was founded in April 1942, as the Army Institute.Between 1942 and 1974, the USAFI provided education opportunities which included the GED, general examinations at the college level and USAFI Courses to service members in the continental United States, Caribbean, Europe, Hawaii and Japan.The headquarters of the USAFI was in Madison, Wisconsin, at 102 North Hamilton Street.
Habari wadau, tunawapenda kuwaalika watu wote wanaohitaji huduma ya usafi majumbani, maofisini pamoja na kunyunyizia dawa wadudu wasumbufu kama vile mende, mchwa, kunguni, mbu, nyoka nk.
Tunapatikana Dar es Salaam, wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0716806933 , 0765013776.
Au tembelea...
Usafi na mpangilio mzuri wa vitu vya ndani huenda pamoja. Huwezi kuwa msafi lakini ushindwe kupanga vitu vyako vizuri. Wana saikologia husema mpangilio mzuri wa vitu husaidia akili kutulia.
Kuna wanaofikiria usafi huendana na uwezo wa kiuchumi. Hapana kuna watu wanaishi maisha duni lakini...
Baada ya mtoto wako kuzaliwa, mrija wa chakula toka kwa mama utakatwa na kubanwa na kibana kitovu.
Mfunge nepi mtoto wako ikiwa chini ya kitovu, ili kibana kitovu kipate hewa na pia kisipate mkojo. Epuka kumuogesha mtoto wako mpaka kibana kitovu kitakapodondoka.
Hakikisha kibana kitovu...
Kwa Wakazi wa Dar es Salaam; Hii si ya kukosa.
Fanya Booking ya Huduma ya Usafi au Urembo ukiwa Nyumbani kwako ama popote ulipo, na sisi tutakufuata hapo ulipo.
Popote ulipo, nasi Tupo. Hakuna tena haja ya kutumia muda mwingi wa kutafuta huduma za Urembo ama Usafi
Unaweza pia kufanya booking...
TANGAZO LA KAZI TAREHE 17, DISEMBA 2020.
BEITO IINTERNATIONAL COMPANY LTD, tunajihusisha na shughuli za usafi na urembo. Ofisi zetu zipo Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni, Mwenge, ITV.
Huduma tunazozitoa ni hizi zifuatazo;
USAFI
Usafi wa nyumbani wa kila namna kama vile kusafisha ndani na...
Habari! Nahitaji mabinti wa kazi ktk kampuni ya usafi (Kaani Dry Cleaners)iliyopo Dar es salaam, mshahara wa kuanzia ni Sh.150000 kwa mwezi.
Umri usizidi miaka 35 pia kwa wale wenye vyeti vya food production (Certificate)and house keeping watakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuchukuliwa.
Maombi...
Wataalamu naomba mnisaidie ushauri ni kwa namna gani naweza maintain usafi wa kinywa changu.
Hapa nazungumzia kuzuia harufu mbaya kinywa, pia naona meno yangu yanaliwa na wadudu na kwa umri huu nilio nao niking'oa jino haliwezi kuota tena
Karibuni wadau nipo hapa kupokea ushauri wenu.
Habari Jf?
Latino Hall Bar iliyoko Tabata paloma Inatafuta wafanyakazi
-Meneja wa bar
-Wahudumu wa vinywaji
-Wafanya usafi
-Mlinzi
Tafadhali wasilisha barua yako ya maombi kabla ya 26/10/2020
Usaili utafanyika tarehe 26 saa tano asubuhi.
Kwa mawasiliano zaidi 0747850270
Naitwa Sabrina
Nina miaka 22,
Naishi Dar, Ukonga.
Elimu yangu kidato cha 4
Naongea English na Kiswahili,
Natafuta kazi ya duka la nguo, vipodozi, supermarket au usafi wa maofisini.
Waziri wa Tamisemi amesisitiza watanzania waanze kujifukiza kama namna ya kujenga kinga katika kupambana na corona.
Ili jambo liwe na ufanisi amependekeza kuwe na wiki ya nyungu kwa maana ya wiki ya kujifukiza. Kama ambavyo mh Rais alipendekeza hivi karibuni.
Amesema...
Kiukweli Dar es salaam ni chafu mno leo nimepita mitaa ya Kinondoni mkwajuni hakika kunanuka na kutia aibu.
Kwa ufupi kabisa niwaombe madiwani wa Dar wakajifunze usafi kwa wenzao wa Moshi au hata pale Iringa manispaa.
Kwa kweli Dar es salaam kwa uchafu inatisha na hii Corona ndio hatari tupu...
Kuvaa gloves barabarani imekuwa ni jambo la kawaida. Ukifika kwenye ATM mtu anatoa gloves za mpira kwanza kabla ya kuanza kufanya miamala. Barakoa, gloves za mpira na chupa ndogo ya sanitizer ni must be contents za hand bags.
Anaepanda basi/train ananawa na sanitizer akishakaa tu kwenye kiti...
=====
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, leo amejumuika na wananchi kufanya usafi katika soko la Sido.
Katika zoezi hilo, Mh. Sugu pia amejumuika na baadhi ya wananchi, wengi wao wakiwa vijana, katika kupata kifungua kinywa.
Siku kadhaa zilizopita Sugu alieleza wazi...
The Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) is a legally established entity responsible for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Arusha City. It is among of the best Authorities in Tanzania.
The core function of the Authority is to...
Halmashauri ya Jiji la Dodoma imepiga marufuku mabasi ya abiria kuruhusu abiria kuchimba dawa (kujisaidia) kwenye maeneo yasiyo rasmi, na kwamba endapo wakibainika watapigwa faini ya Sh. 200,000 au kifungo cha miezi sita jela.
Sambamba na hilo, imeagiza mabasi hayo kupuliziwa dawa za kuua...
Mimi niwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi 🤷
Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka...
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Mabinti ninaowazunhumzia hapa sio wale wacheza vigodoro na wavaa madera wasiojielewa, ni mabinti wale wanaojistiri swala tano.
Hawa mabinti moja ya sifa kuu waliyonayo ni usafi wa mwili, yaani ukibahatika kumla hutojutia wala kurudi hapa eti...
Nimefungua biashara ya Mgahawa sehemu flani hapa jijini Dar es Salaam, nimeweka wafanya kazi 3; mmoja kwa ajili ya chips na wa2 kwa ajili ya chakula kwa sababu biashara yenyewe bado changa. Eneo ambalo nafanyia biashara lina population kubwa na halina competition kubwa sana. Mimi napitia mida ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.