ushabiki wa mpira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Haya machungu tuliyonayo kwenye hizi timu. Tungekuwa nayo katika kupambania Nchi yetu hakika tungekuwa mbali sana

    Inasikitisha sana kuona kijana analia kisa timu yake imefungwa. Lakini huyo huyo kijana hutamuona kamwe katika harakati za kupambana na kupinga viongozi wanao kula pesa za uma!! Unadhani kama sio sisi Nchi yetu itajengwa na nani? Nani atapambana Kwa niamba yetu kuhakikisha tuna time huru ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…