Wasalaam, Umofia kwenu!
Eeh bana eeeh were were mwaka jana nilipata bonge la demu mtoto wa kipare bonge la pisi ukanda huu wa pwani alikuwa mdent wa chuo fulani anatokea kati ya Makanya, Same au Hedaru sina hakika, demu black beauty, trackoo hana mpinzani, kichwa kidogo dogo, hana tumbo...
Salale
Wanawake Mungu anawaona, acheni visa chezeni game fair, sio poa unatumia mchezo wa kujiviringisha sana na mpapaso kama wote mwanzo wa mechi hadi mwisho wa mechi mgongo massage mwanzo mwisho, mtu unagugumia maraha na mautamu hadi mwisho. Khaa sio poa.
Baada ya hapo mnatumia hio fimbo...
Aiseee zile gari acha kabisa
Yani kabla hujakaa tayari upo Kibaha mana Dar - Moro ni lisaa tu 😂😂😂😂
Kupanda zile gari inahitaji uwe na roho ya paka 😆😆😆
Sishauri kabisa wanawake kupanda zile gari mana sisi wanaume tu tunapanda kwa dharura
Embu tupe uzoefu wako mara ya kwanza kupanda zile gari...
Katika dunia ya leo suala la habari (Information) ni muhimu sana hasa kwa kutumia teknolojia ya kisasa. Ukosefu wa habari sahihi juu ya inshu fulani iwe ya kijamii, kisiasa au kiuchumi itakufanya ushindwe kufanya maamuzi sahihi ama itakuwa na athari kwako kwa namna moja ama nyingine.
Moja ya...
Habari wana jukwaa.
Nataka kuuliza kitu hapa maana najua Dunia ina vitu vingi na kila kinachotokea siyo kipya, ujue kimeshatokea sehemu.
Nataka kupata uzoefu kwenye hili. Je, ilishatokea ukapendwa na mpenzi wa rafiki yako, yaani yule rafiki yako ni damudamu?
Kama ilishatokea ulifanya vipi...
Harakati za hela ya umeme nyumba za kupanga zenye kushare Luku.
Few years ago, nilipanga chumba, wapangaji tulikua wawili na mtoto wa mwenye nyumba, kwakua mtoto wa mwenye nyumba alikua anatatizo la akili, tulimtoa katika kuchangia umeme, pia hakua na matumizi makubwa.
Mwanzoni mambo yakawa...
Watu wengi wanaanzisha biashara lakini wengi pia wanafunga biashara, sababu na shauku ya kuanzisha biashara mara nyingi ndio hiyohiyo ya kufunga biashara ila nina wazo au kanjia kadogo ambacho labda kanaweza kukusaidia.
Kama umefeli katika biashara yako, swali la msingi kujiuliza nimefeli mara...
Maisha ni fumbo na fumbo lenyewe Lina kuja pale unapougua na hujui utapona au ndo mazima.
Kuna magonjwa yanayoeleweka yanakupa hope kwamba ni suala la mda tu mambo yatakaa sawa. Ila Sasa kuna haya magonjwa ambayo mtu unakuwa uncomfortable mda mwingi unameza dawa hadi mwili unanuka dawa.
Yani...
Yani unaingia kituoni unapark gari uwekewe mafuta unajikuta umegeuza pump iko kulia wewe umeweka gari kushoto, Fuel attendant anakuona kama dish lako linayumba hivi hafu hakuelewi elewi.
.
Kuna wale wasee huwa hawataki aibu ndogo ndogo huwa wanashuka wanachungulia kwanza, Yani kabla hajafika...
Sasa acha nikusanue leo hii ukitazama orodha ya watu matajiri zaidi duniani basi kwenye top 20 yao.
Utakutana na wanawake watatu na wanaume 17.
✓ Wanawake ao ni Bi Francoise Bettencourt ambae yupo nafasi ya 14.
Ni mfaransa mrithi wa kampuni ya vipodozi ya L'Oréal ambaye anamiliki 33% ya...
Yaani, hamna kitu kilichokuwa kinatisha watu kama kukaa mbele ya darasa na huelewi yale anayofundisha mwalimu halafu anakuchagua kujibu swali na hauliwezi na ukigeuka kuna kiboko cha mpera😂😂
Utatamani kugeuza sakafu shimo utumbukie na hapo amekukazia kweli ila kengele inakuokoa ya mapumziko...
Anaandika Thadei Ole Mushi
AKILI ZA TABIA YA KITROPIK HAZINA MUDA WA KUFIKIRI.
Na Thadei Ole Mushi.
Kitaalamu ipo hivi.
Akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi zenye tabia ya nchi za Kitropik huwa hazina muda wa kufikiri sana tofauti na akili za binadamu wanaoishi kwenye nchi za Jangwa au...
Wakuu habari zenu,
Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....
Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.
Nlijiona tu siko sehemu...
Miaka kama mi 4 nyuma kuna mpangaji wetu alitembelewa na mdogo wake kutoka Singida, nikatokea kumpenda sanaa huyo mdogo wake, nikamtongoza akakubali akamwambia na dada yake nae akasema fresh tu.
Kwenye kumla sasa yule dada alikua ana roho ngumu sana kwa jinsi Mama alivyokua mkali na demu wangu...
Salaam wakuu,
Je, ulishawahi kupoteza kitu cha muhimu sana wakati ulipokuwa unakihitaji sana?
Mimi ilinitokea 2013, nilisafiri kwa mara ya kwanza kwenda Mwanza, nilikuwa na mwenyeji wangu aliyekuwa ananisubiria, yeye alikuwa eneo linaloitwa Magu.
Tuliwasiliana hadi nafika nyegezi, huku...
Huyo ni.mdudu hatari sana, anaitwa Nyigu.
kwa maumivu yake hata Nyuki anasubiri
Mara ya kwanza kukutana nae alinipa Komwe la muda mfupi na maumivu ya hatari😅😅
nikimuona naanza safari ya kujihami mapema sana
vipi kwako, tupe stori..
Habari watu wa taifa tukufu linalotetewa na timu ya Simba pekee kimataifa kila mwaka!
Basi katika medali ya muziki hapa nchini na duniani kwaujumla ulishawahi kutokea kuupenda wimbo flani ulioimbwa nawasanii wawili au zaidi lakini hapohapo ukatamani wimbo huo ingependaza zaidi kama angeimba...
Habarini wana jamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nikilog in wanataka niverify kama akaunt ni ya kwangu, kwa hio wanatuma verification code kwenye namba ambayo nishaipotezaga
Na hamna option nyingine ya kupata hizo code.
Msaada kwa anae fahamu jinsi ya kusolve hilo🙏🏽
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.