ustawi wa jamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kabinti ka ludilo

    Maofisa ustawi wa Jamii 268 ngazi ya kata, wapo katika kata gani?

    Wakuu, Mimi nauliza hao maafisa ustawi wapo katika kata ipi. Maana nina uzoefu wa wilaya kama Kyela, Ludewa, Njombe, na Mufindi, zote hazina Afisa ustawi wa jamii hata mmoja ngazi ya kata. Je wapo wapi hao maafisa ustawi ngazi ya kata?
  2. A

    Naomba kujua mshahara wa Diploma ya Ustawi wa jamii

    Naomba kujua mshahara wa diploma ya ustawi wa jamii.
  3. M

    Mauaji Mbeya: Afisa Ustawi wa Jamii adaiwa kunyongwa hadi kufa

    Afisa Ustawi wa Jamii Mahabusu ya Watoto Mbeya, Gloria Kibira amekutwa amefariki nyumbani kwake ndani ya Mahabusu hiyo ,Jijini Mbeya! Taarifa za awali zinaonyesha kuwa alikutwa amefariki mida ya saa tatu usiku tarehe3.2 baada ya marafiki zake kumtafuta Kwa simu na akawa hapokei. Watoto wake...
  4. Bushmamy

    Ongezeko la Ajira kwa watoto, Serikali kupitia ustawi wa jamii imejisahau?

    Achia mbali ongezeko la watoto wa mtaani katika miji yote mikubwa., Tatizo lingine linaloonekana kwa sasa ni wingi wa ajira kwa watoto wenye umri kati ya miaka 9-13. Tena katika mfumo tofauti tofauti kama ifuatavyo. Kwa maeneo ya mjini watoto wenye umri tajwa hapo juu siku hizi ndo hutumika...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Mitihani ya supplementary chuo cha ustawi wa jamii ngazi ya diploma inaanza mwezi wa ngapi na gharama ni sh. ngapi

    Habari za Leo wakuu, Naomba kufahamishwa katika hili. Mitihani ya supplementary chuo cha ustawi wa jamii ngazi ya diploma inaanza mwezi wa ngapi na gharama ni sh. ngapi.
  6. Kiranja Mkuu

    Kitambulisho cha Faraja Nchimbi wa Ustawi wa Jamii kimeokotwa

    Kitambulisho kim eokotwa maeneo ya Kijitonyama. Kitambulisho bada ya kukiokota tumekikabidhi kwa Eliya, Fundi viatu yupo geti dogo
  7. N

    SoC01 Utatuzi wa changamoto zinazoikabili Sekta ya Ustawi wa Jamii

    USTAWI WA JAMII ni sekta ambayo inadili na uangalizi na utoaji wa huduma stahiki kwa Makundi maalumu ya watu kama vile walemavu, wasiojiweza, wazee, watoto na familia Zisizojiweza, huduma zitolewazo ni kama vile utoaji wa huduma za afya, huduma za vyakula, kuwapa Elimu,na hata malazi na mahitaji...
Back
Top Bottom