USTAWI WA JAMII ni sekta ambayo inadili na uangalizi na utoaji wa huduma stahiki kwa Makundi maalumu ya watu kama vile walemavu, wasiojiweza, wazee, watoto na familia Zisizojiweza, huduma zitolewazo ni kama vile utoaji wa huduma za afya, huduma za vyakula, kuwapa Elimu,na hata malazi na mahitaji...