ustawi

Chama cha Haki na Usitawi (CHAUSTA) is a political party in Tanzania. The party was registered on 15 November 2001. Its founder and current chairman is James Mapalala, a former national chairman of the Civic United Front.

View More On Wikipedia.org
  1. Bushmamy

    Ongezeko la Ajira kwa watoto, Serikali kupitia ustawi wa jamii imejisahau?

    Achia mbali ongezeko la watoto wa mtaani katika miji yote mikubwa., Tatizo lingine linaloonekana kwa sasa ni wingi wa ajira kwa watoto wenye umri kati ya miaka 9-13. Tena katika mfumo tofauti tofauti kama ifuatavyo. Kwa maeneo ya mjini watoto wenye umri tajwa hapo juu siku hizi ndo hutumika...
  2. L

    Xinjiang ni sehemu yenye uhuru na ustawi

    Xinjiang ni mkoa mkubwa zaidi unaojiendesha wa makabila madogo madogo nchini China, na una wakazi zaidi ya milioni 25 wa makabila karibu 50, wakiwemo Wauyghur. Katika miaka ya hivi karibuni, suala la Xinjiang limechukuliwa na baadhi ya nchi za magharibi kama njia ya kupaka matope China. Ili...
  3. L

    China na Afrika zikiendelea kuuenzi uhusiano wao ustawi, kuna wale wanaozusha vijineno vya chini chini vya kutaka kuusambaratisha

    Na Pili Mwinyi Ingawa uhusiano wa kidiplomasia kati ya China na Afrika ulianzishwa katikati ya miaka ya 50, lakini hivi sasa uhusiano huu unaendelea kukua na kustawi na umekuwa ukiimarishwa siku hadi siku, ambapo pande zote mbili zinaungana mkono kwenye masuala mbalimbali. Hata hivyo kuna wale...
  4. Baraka Mina

    #COVID19 Rais Samia azindua Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19 Jijini Dodoma

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akizindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19 katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo 10 Oktoba 2021. Fuatilia matangazo hapa Dondoo ujio wa...
  5. L

    China yaendelea kujiamini katika kutimiza ustawi wa Xinjiang licha ya nchi za Magharibi kujaribu kuipaka matope

    Na Pili Mwinyi China Jumapili ilitoa waraka mweupe ukilenga mahsusi kuonesha mwenendo wa idadi ya watu wa mkoa wa Xinjiang, ambapo kwa mujibu wa takwimu za sensa ya saba ya taifa, idadi ya watu wa makabila madogo mkoani humo imeongezeka haraka sana kwa wingi pamoja na watu wake kuwa na maisha...
  6. ngatungas

    SoC01 Brainwashing kwenye Dini. Kushamiri kwa Madhehebu, Na muelekeo unaofaa kufatwa na Jamii kwa ustawi wa Afya ya akili.

    Utangulizi. Nadhani sisi sote ni wafuasi wa imani fulani maishani.Either iwe ya kidini ama ya kifikra zaidi(scientific). Na hizi Beliefs system ndizo sana sana zinatuongoza maishani mwetu juu ya kile kipi tunafanya kila siku. Mada. Kwa Africa Uislamu-uliletwa na waarabu kipindi cha ukoloni na...
  7. Meneja Wa Makampuni

    Mitihani ya supplementary chuo cha ustawi wa jamii ngazi ya diploma inaanza mwezi wa ngapi na gharama ni sh. ngapi

    Habari za Leo wakuu, Naomba kufahamishwa katika hili. Mitihani ya supplementary chuo cha ustawi wa jamii ngazi ya diploma inaanza mwezi wa ngapi na gharama ni sh. ngapi.
  8. Kiranja Mkuu

    Kitambulisho cha Faraja Nchimbi wa Ustawi wa Jamii kimeokotwa

    Kitambulisho kim eokotwa maeneo ya Kijitonyama. Kitambulisho bada ya kukiokota tumekikabidhi kwa Eliya, Fundi viatu yupo geti dogo
  9. DR HAYA LAND

    CCM ni chama kinachotakiwa kufutwa mapema kwa ustawi wa Taifa

    Hiki chama ..kinatakiwa kufutwa haraka sana . Watu wengi wenye nia ovu na Taifa letu wamejifichà katika kivuli cha hiki chama. Wananchi wengi wanahitaji Amani ya kweli. :pPendekezo msajiri ebu futa hiki chama Mara moja . tunaitaji Tz imara isiyokuwa na vyama vyenye kulea watu waovu.
  10. Uchumi wa Mifugo

    SoC01 Mimba za utotoni ni "kaburi" la ustawi wa Watoto wa Kike nchini

    Amina (siyo jina halisi)mwanafunzi wa kidato cha tatu katika mojawapo ya shule za sekondari wilayani Kibaha mkoa wa Pwani kila siku anaamka saa 11 ili awahi kwenda shule,shule iliyopo umbali wa kilometa sita kutoka nyumbani kwao.Kila siku anaenda na kurudi kwa miguu, nyumbani hapati kifungua...
  11. I

    SoC01 Dhana ya Ndoa: Jinamizi hatari kwa Ustawi wa Wanawake, hatma ya Watoto

    Na Ibrahim Rojala Ondoka,nenda kwenu,mwanamke gani wewe,beba mizigo yako na watoto wako,sipendi ujinga! Haya ni baadhi ya maneno ambayo yamekuwa ni kawaida kwa wanawakewngi kuyapokea kila uchwao,iwe mijini au vijijini hapa nchini,Tafsiri rahisi ya maneno hayo hayo huwa ni ndoa...
Back
Top Bottom