"UMOJA WA NDANI, NA UMOJA WA NJE" NI NGUVU, UWEZA NA UTAJIRI.
Kwa Mkono wa, Robert Heriel
Jumbe hii isomwe na wapenda hekima, wenye kutafuta ufahamu, iwe taa kwao wapendao heri, lakini iwe giza kwao wenye hila na njama, hao wenye kudhulumu.
Leo Taikon nimekuja na somo muhimu na lalazima kwao...