Utata (Russian: Утата) is a rural locality (an ulus) in Zakamensky District, Republic of Buryatia, Russia. The population was 653 as of 2010. There are 10 streets.
Katika mambo yanayonishangaza ni hii kaulii ya kusema kuwa "ule wa jana kabisa ulee sio wa leo"
Wengine husema waleo hauwezi kuchelewa vilee ule mkubwa huutafuti.
Binafsi nafuata mwezi wa kimataifa lakini hii haimaanishi nikubali kila linalosemwa na wenzangu kuwaponda wa mwezi wa kitaifa...
Tanzania yetu ya watanzania ina Watanzania wenzetu ambao ni viongozi wa ajabu Sana katika utendaji wao wa shughuli za kila siku.
Huwezi kuwajua misimamo yao imesimamia wapi Wala ukitazama vision yao kwa Taifa ni kinyume na matarajio na matakwa yao katika utumishi wao.
Leo unaweza kuwa na...
Tunakumbushana tu kama kuna kitu kinafanywa siri kati ya wabunge 19 wasiojulikana chama chao, basi siri hiyo iko karibu kutoka.
Ikumbukwe kati ya wabunge hao 19 siyo wote wamekata rufaa Baraza kuu la CHADEMA.
Unajua ni kwanini?
Viongozi wa CCM wengi siyo wajanja, siasa za CHADEMA ni za kimjini...
Kuna matukio mawili yameacha UTATA na kupelekea kuvurugika kwa mechi mbili tofauti.
1. Golikipa alishika mpira na baada ya kushika vizuri, fowadi alikuwa mitaa ile ndani ya 18. Kwa mshangao golikipa alimpiga Pepsi bila sababu, refa alifunika tuta. Jambo ambalo lilipelekea mchezo kuisha. Baadhi...
DODOMA : AJIRA 6,000 bado, Achaneni na Matapeli
Atley Kuni na Veronica Simba- TAMISEMI
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, ametegua kitendawili kuhusu ajira elfu sita za watumishi wa kada ya walimu kama ilivyoamriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...
1. Kifo cha JPM ni fumbo tata na kina maswali mengi kuliko majibu.
2. Baada ya kifo cha JPM, hata zile kelele za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana.
3. Mradi wa Bagamoyo ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.