Kuna migogoro mingine hata sio ya kupelekana Mahakamani na kuipatia mahakama mzigo.
Unakuta ni suala la kutatua tu kwa mazungumzo basi Kesi inaisha.
Lakini sasa kwa kuwa watu wengine wana pesa basi watataka kujionesha kuwa anaweza na ukute anayeshtakiwa ni mtu wa kipato cha chini.
Basi mtu...
Salaam, Shalom!!
Ndugu Respis Brasius mkazi wa Unga Limited ameahirisha kujitoa uhai wake baada ya kuvutiwa na hotuba ya ndugu Jerry Slaa aliyoitoa Bungeni kuhusu utatuzi wa migogoro ya Ardhi.
Iko hivi, Don Mmoja Unga Limited alishinda case mwaka 2012 iliyohusu baadhi ya wananchi kuvamia...
Bwana Yesu ASIFIWE ....
Assalamualaikum......
Serikali ianzishe wizara maalumu ya saikolojia na utatuzi wa migogoro ili kuzipunguzia wizara zingine mzigo wa kushughulikia migogoro
Kwanza nianze kwa kuwashukuru Jforum kwa kuendelea kuwa wabunifu kwa kuweka majukwaa mbalimbali yanayoibua mawazo...
Imani ya Watanzania kwa taasisi za utoaji haki na utatuzi wa migogoro inaweza kutofautiana kulingana na uzoefu binafsi na mtazamo wa kijamii. Hata hivyo, kwa ujumla, kuna masuala kadhaa yanayojitokeza ambayo yanaweza kuathiri imani ya Watanzania katika taasisi hizo.
Watanzania wanategemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.