utawala wa wakoloni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Hivi tatizo kubwa la Wakoloni lilikuwa ni nini mpaka tukaamua waondoke?

    Mbona naona kama wakoloni walikuwa wanaleta maendeleo kwa kasi kwenye nchi zetu, Walikuwa wanajenga reli, shule na vituo vya afya. Walikuwa wanajenga viwanda muhimu vya uchakataji. Walikuwa wanafungua ardhi kwa mashamba makubwa ya kilimo cha kisasa. Walikuwa na mipango miji bora. Walikuwa...
Back
Top Bottom