Wenzetu wanawaza kuendeleza ubunifu (innovation) kila sekta. Hapa Tanganyika tunawaza kudhibiti na kubunya kila uchwao, zifuatazo Ni mamlaka za Udhibiti;
1. EWURA,
2. LATRA,
3. TCRA,
4. TCU,
5. NACTVET,
6. NEMC,
7. OSHA,
8. TBS,
9. TMDA,
10. TARURA/TANROADS,
11. TIRA/NIC,
12. Bodi ya Korosho...