utumishi wa umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G Sam

    Geita: Chuo Kikuu cha Utumishi wa Umma kujenga Kampasi yake Wilayani Chato

    Kampasi ya Chuo cha Utumishi wa Umma tawi la kanda ya ziwa kitajengwa wilayani Chato, amethibitisha waziri wa utumishi wa umma George Mkuchika. Kwa mujibu wa Mkuchika ni kuwa amejiridhisha kuwa Chato inazo sifa zote zinazoiwezesha kujenga chuo hicho ikiwemo ukubwa wa eneo unaoridhisha. =======...
  2. D

    Kuacha Utumishi wa Umma ukiwa unadaiwa na Benki

    Wasaalam wakuu wa GT naamini mko salama na mnaendelea kupambana na majukumu ya kujiingizia kipato. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, mimi ni Mtumishi wa Umma ambaye natarajia ndani ya muda mfupi ni step down kwenye Utumishi wa Umma kutokana na kukosa muda wa kufanya mambo yangu binafsi ya...
  3. KASULI

    Nini matokeo ya Waziri Mkuu Majaliwa kukutana na Bodi ya Mishahara na Maslahi katika Utumishi wa Umma?

    Mapema Januari mwaka huu Waziri Mkuu alitoa ufafanuzii juu ya kile kinachoitwa bodi ya mishahara ilii kurekebisha mishahara iendane na elimu na ugumu wa kazi. Leo ni Desemba hakuna tamko au chochote kipya. ======== Alhamisi, Januari 24, 2019 Majaliwa akutana na wajumbe wa Bodi ya Mishahara...
  4. V

    Kuna haja ya baadhi ya wafanyakazi wa idara kwenye Makampuni Binafsi ziwe na wafanyakazi wa Serikalini

    Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu. Baada ya kuona jitihada kubwa za Serikali kusimamia mapato na kukusanya kodi ikiwa ni pamoja na kutambua mchango wa wafanyakazi kutoka Sekta Binafsi na zile za umma, sasa ni muda muafaka awamu hii pia ijaribu kufikiria kama itafaa kufanya hivi: Makampuni...
  5. MIMI BABA YENU

    Uchaguzi 2020 Afisa Mwandamizi, Geofrey Timoth achukua fomu kugombea Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

    Afisa Mwandamizi Usimamizi wa Fedha kutoka Management ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ndugu Geofrey Timoth leo asubuhi katika Ofisi za Chama Cha Mpinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kwa kupitia chama hicho.
  6. Mystery

    Hivi sifa kubwa ya kuteuliwa na Rais kwenye nafasi za utumishi wa Umma ni kuwa kada kindaki ndaki wa CCM?

    Tumemsikia mara kwa mara Rais Magufuli wakati akihutubia akisema kuwa maendeleo hayana vyama, akimaanisha kuwa serikali yake haina upendelo linapokuja suala la maendeleo ya nchi, kuwa kila mwananchi anayo haki sawa Lakini, maneno hayo yana tofauti kubwa katika utendaji wake katika uteuzi wake...
  7. Ivan Breaker

    Course gani nzuri katika Utumishi wa Umma upande wa ajira?

    ...
Back
Top Bottom