utumishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Usikope ili ulipe ada za watoto

    Kuna watu wanapitia magumu sana. Sijui kwasababu ya kuishi kwa kuiga au kukosa maono. Huyu maza nafanya naye kazi shirika moja la umma. Kabakisha muda mfupi kustaafu. One day nilimgusia suala la ukosefu wa ajira nchini na duniani ndipo akafunguka kuwa watoto wake kasomesha private both primary...
  2. Megalodon

    Kwanini Mishahara ya watumishi ambao wapo ngazi moja inatofautiana? Je, Utumishi huwa mnafanya kazi kisayansi kweli?

    Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili! MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote...
  3. H

    KERO Tume ya utumishi wa umma jirekebisheni kwenye mawasiliano

    Habarini, Imekuwa ni shida kuwasiliana na nyie kwani hamjibu baruapepe,simu na sms. Na hata hao watumishi wenu ambao wameweza kupata namba zao hawapokei simu zao. Huu ni utendaji mbaya na unakela sana kwani wananchi wenye shida wanahangaika sana kwa huduma zenu mbovu. Nashauri serikali...
  4. Ustadh tongwe

    Hivi kwanini serikali iliamua kuiruhusu TRA iajili yenyewe wakati idara nyingine zote za serikali ikiwemo BOT ajira zinapitia Utumishi

    Hili suala la TRA kuruhusiwa kuajili wenyewe ndio mwanzo wa kurudisha enzi zile za kujazana kabila Moja ofisini hakuna ushindani wa kupata ajira, Aliemshauri Rais kuruhusu hili ametoa ushauri kwa maslahi yake binafsi kama BOT inapeleka utumishi kwanini wao wasipeleke.
  5. M

    Ombi la kibali kwa wahitimu wa kozi ya diploma in pipe works oil an gas engineering kuomba nafasi za ajira za ufundi bomba

    Kwa: Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, S.L.P 2483, Dodoma. YAH: OMBI LA KIBALI KWA WAHITIMU WA KOZI YA DIPLOMA IN PIPE WORKS OIL AND GAS ENGINEERING KUOMBA NAFASI ZA AJIRA ZA UFUNDI BOMBA Ndugu Katibu Mkuu, Kwa heshima na taadhima, mimi ni...
  6. GoldDhahabu

    Nchi inaendeshwa na utumishi wa umma au wanasiasa?

    Mara kadhaa viongozi waandamizi wa CCM wamesikika wakiwashauri Watanzania wasiwachague wapinzani katika nafasi ya Urais kwa madai kuwa vyama vya upinzani bado havijakomaa vya kutosha kuongoza nchi! 1. Hayo madai yana ukweli kwa kiasi gani? 2. Nchi inaendeshwa na wanasiasa au na utumishi wa...
  7. Mwamuzi wa Tanzania

    Kilichotokea jana usiku kwa watumishi wa TRA ni matokeo ya serikali kushindwa kudhibiti rushwa na ufisadi kwenye utumishi wa umma

    Watumishi wa TRA wengi (sio wote) kila mmoja kwa kitengo chake hutumia nafasi hiyo kujipatia pesa kinyume na taratibu. Serikali inakosa mapato kwasababu watumishi wa TRA na taasisi zingine wako busy kutafuta pesa. Mmoja wa watumishi wa TRA ambaye kafariki ninafahamiana naye kiasi cha kuweza...
  8. Mejasoko

    Msaada Nondo za business administration kwa ajili ya written interview utumishi - tutorial assistant

    Msaada Nondo za business administration kwa ajili ya written interview utumishi - tutorial assistant, Msaada wakuu mwenye a,b,c karibu hapa tupeane madini
  9. Mejasoko

    Kukandwa kwa maksi chache writen utumishi inakera kwa kweli. Wangekuwa wanaangalia na ukubwa wa maksi

    Wakuu Leo nimefanya paper ya written utumishi, na matokeo wametoa Leo Leo, si mchezo yaani mstari wa not selected Umeanzia kwangu na ukizingatia nimepata 75% yaani inauma mno asali inanipiga chenga, hivi hivi😭 Mungu unikumbuke kwa kweli
  10. K

    Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Wajomba, Hivi baada ya ku submit transfer vacancy request katika mfumo wa ess utumishi kinachofuata fuata nini, je wanakujibu kama nafasi IPO au?
  11. K

    KERO Idara ya Utumishi - Halmashauri ya Nachingwea inatuzungusha kutupa Barua za Ajira sisi Watumishi wapya

    Naomba kuwasilisha kero sugu iliyopo katika Halmashauri ya Nachingwea upande wa Idara ya Utumishi, kumekuwa na mikingamo mingi na mazingira tata katika utoaji wa barua za uthibitisho na barua za ajira kwa sisi Watumishi wa Serikalini. Hizi barua hazitolewi kwa wakati na mpaka sasa, kawaida...
  12. Mto wa mbu

    Je, ni kweli kuwa Utumishi watapangia walimu vituo kwa kuchagua wenye GPA kubwa?

    Hello wakuu, Kuna tetesi nimezipata kuwa Utumishi ,hawatawafanyisha usahili walimu, badala yake wame wamechagua selection criteria, nazo ni mwenye GPA kubwa atapata ajira. Na tetesi zinasema kuwa below 3.0, unaweza husi chaguliwe. Je, yanaukweli hayo? Na ni kweli mwenye GPA ya 4.0 anaweza...
  13. Jamii Opportunities

    Call For Work (Placements) Kuitwa Kazini UTUMISHI November, 2024

    Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI November, 2024) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) 2024. UTUMISHI is a government organization responsible for recruiting and...
  14. Mejasoko

    Kwa nini Utumishi wanachelewa kuita waombaji kwenye usahili?

    Hivi wakuu Kuna post zilitangazwa na PSRS yaani utumishi kutoka TRC position ya Senior Commercial Officer na deadline ilikua October mwaka jana ila mpaka Leo hakuna call for interview shida itakua ni nini? wakati TRC nao wanacall watu kwa interview lakini mpaka Sasa kwa hiyo post kimya, na pia...
  15. October 2pm

    Leo ndîo ingekuwa Siku yangu kufanya usaili lakini utumishi wamenikatili

    Utumishi Wana loho mbaya Sana. Walijua nitapasua. Nimekeleka Sana. bakini na ajila zenu. Mtu amejianda Zake vidhuri hamtaki kuona. Bakini huko
  16. sergio 5

    Utumishi (PSRS) napendekeza muandae mitihani kwa viongozi wa kisiasa wanaoshinda majimboni

    Habari za muda huu, Naamini nafasi za uongozi zinahitaji watu wenye akili na uelewa (intelligence), siyo tu kuwa na ushawishi au pesa. Tanzania kwa sasa, tunaongozwa na watu wenye nguvu ya ushawishi wa kifedha kama wabunge na madiwani. Ili tuwe na viongozi bora wanaozingatia uwajibikaji...
  17. Mike Moe

    Kwa mliokuwa Shortlisted (Electrical II) TRC na mliowahi kufanya interview za electrical technician utumishi

    Habari za muda huu ndugu zangu naomba kufahamishwa kama kuna mtu alishawahi kufanya interview za electrical technician utumishi tusaidiane namna ya maswali yanavyokuja katika interview zote tatu written, practical and oral Au pia kwa mtu yeyote mwenye uelewa na interview hizo ruksa kushare...
  18. Jamii Opportunities

    Call For Work (Placements) Kuitwa Kazini UTUMISHI October, 2024

    Check Names Called for Placements at UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI October, 2024) – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS). Call For Work (Placements) UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) 2024. UTUMISHI is a government organization responsible for recruiting and...
  19. October 2pm

    Utumishi wamesikia kilio changu wamenirudisha nilipochagua

    Asante utumishi Nimeludishwa mkoa nilipochagua mwanzoni baada ya kulalamika kuwa wamenipangia Kagera ambapo sikuchagua. Ahsante sana utumishi
Back
Top Bottom