Za jioni wadau
Utakuta kijana anasimama juu jukwaa la chama cha watz ,chama pendwa cha waliowengi halafu anawaponda wapinzani na kuwatishia.
akienda nyumbani anajisifu kwamba wapinzani kawashambulia na watazidi kumsikia.
haafu anajiita jasiri
mimi naona huo sio ujasiri,i hayo yasemee nje...