Ilikuwa mwaka 1915 wakati wafanyikazi wa misitu walikata miti mikubwa kama hii.
Iliwachukua mwaka mmoja kuuweka mti kama huu ardhini.
Najiuliza ilichukua muda gani mti huu kuota na kuwa mkubwa hivyo🤔
Ipo changamoto ya kuyapata mafuta ya nyonyo yasiyounguzwa katika moto na kuwa meusi. Jamaican black castor oil.
Katika kutafuta kupata mafuta halisi ya nyonyo natural yaliyokamuliwa na kuchujwa bila kuunguzwa ndio tukafikia hatua hii. Warm/cold presssed castor oil
Kimashine kinaweza kuundwa na...
Likely dating to between 2,200 and 2,400 years ago, the toilet — consisting of a bowl and pipes leading to an outdoor pit — was unearthed in the ruins of the palace in Yueyang City Ruins, an archaeological site in Xi'an, the capital of Shaanxi province in central China.
The ancient lavatory was...
Imesikika repoti ya Dr. Mwakyembe akitaka kuiaminisha Dunia hii ya werevu ati kuwa sheria ni fani adhimu na special sana. Haijulikani ni kwenye lipi msomi huyu akilenga.
Hawa hapa ni SUA wakikodolea ubingwa katika tafiti na uvumbuzi:
Mkakati wa SUA kuwa kitovu cha utafiti, uvumbuzi
Ma lawyer...
Wakati wenzetu wakiendelea kuvumbua teknolojia mbalimbali ikiwemo akili ya bandia (Artificial Intelligence), wasomi wetu wa SUA wanakimbizana na panya eti kuwafundisha panya kubaini magonjwa na kugundua sehemu ambazo mabumu ya ardhini yametegwa.
Kwa maoni yangu huu ni mtindio wa ubongo kwani...
Maajabu ya Sayansi: Aina nne za uvumbuzi zilizofeli ambazo zimebadilisha Ulimwengu
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
2 Agosti 2022
Je, unajua kwamba pacemaker, ambayo huokoa mamilioni ya maisha duniani kote, ni matokeo ya ugunduzi ulioshindwa?
Wazo la mafanikio kama vile taa za umeme na mashine ya...
SRINAGAR:
NASIRA Akhter, mwanamke Mvumbuzi wa Kashmiri,mwaka huu alikuwa ni miongoni mwa wanawake 29, walionyakua tuzo ya kifahari ya Nari Shakti Puraskar, iliyokabidhiwa wakati wa kilele cha siku ya wanawake duniani na Rais wa India Ram Nath Kovind.
Rais Ram Nath Kovind alimkabidhi Akhter...
Ukikaa nao watakwambia Algebra mara hivi mara vile lakini waarabu hawana mchango mkubwa sana hapa duniani, na wenzao wahindi wamo humohumo, hamna kitu. Wamegundua vitu vichache sana hapa duniani kwa hiyo ni sahihi kabisa kusema kwa hapa duniani mchango wao katika uvumbuzi ni negligible...
Pili Mwinyi
Malaria ni ugonjwa hatari sana unaotokana na mbu jike ambaye anaambikiza binadamu na baadaye akuwa na homa kali, baridi, na mafua. Ugonjwa huu unaweza kusababisha kifo au hata matatizo ya akili pale malaria inapopanda kichwani. Mafanikio makubwa yamepatikana duniani katika kudhibiti...
6174: Kwanini takwimu hii imewatatiza wataalamu wa hesabu kwa zaidi ya miongo 7?
Itazame takwimu hii: 6174.
Kwa mtazamo wa kwanza, huenda sio kitu kikubwa - lakini imewatatiza wataalamu wa hesabu tangu mwaka 1949.
Kwanini? Haya ni mambo ya kustaajabisha na unayostahili kuyafahamu mwenyewe...
Tovuti ya gazeti la Marekani “Los Angeles Times” tarehe 19 mwezi huu iliripoti kuwa vifaa vya kisasa vya kiteknolojia kwenye Michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi ya Beijing vinawavutia watu wengi duniani, ikiwa ni pamoja na mgahawa unaotoa huduma wenyewe, roboti ya usimamizi kwenye hoteli na...
Waziri wa biashara wa Marekani Gina Raimondo ameviambia vyombo vya habari vya nchi hiyo kuwa nchi hiyo inapaswa kushirikiana na washirika wake wa Ulaya ili kuzuia China kupata teknolojia ya hali ya juu na kupunguza kasi ya maendeleo ya uvumbuzi ya China. Pia ametaja kuwa kanuni za sekta ya...
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".
Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye...
Ubeti wa kwanza wa wimbo wa taifa la tanzania "Mungu Ibariki Afrika" unatumika pia katika nchi ya Zambia, Zimbabwe na Afrika Kusini.
Maneno katika wimbo huo yalitungwa na mtunzi Enoch Sentonga huyu ni Raia wa Afrika Kusini.
Wimbo huo aliutunga mwaka 1987 ukiwa na maneno "Nkosi sikelel i'Afrika...
Wasanii na wabunifu wa mambo ni watu muhimu katika jamii yoyote ile. Kwani sanaa hutambulisha vitu na mambo mbalimbali ya watu wa kabila au jamii fulani. Katika matembezi yangu kwenye mkoa unaojiendesha wa Xinjiang Uygur nimefika hadi kwenye kituo cha ubunifu wa sanaa za mikono cha Qifang mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.