Nawasalimu ndugu zangu popote pale mulipo🤝🏽. Nina matumaini ni wazima wa afya, na kwa wale waliopata mtihani wa maradhi basi tunawaombea siha njema kwa MwenyeziMungu (Mtukufu, Aliye juu, Aliye mkuu).
(Picha kwa hisani ya: Gift of Herbert J. Harris, 1986)
Hii ni ngoma ya kijiji chetu. Kila...