uzalishaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr. Zaganza

    Business Partner Anahitajika Katika Upanuzi wa uzalishaji Sabuni za ngozi na Mafuta Nywele

    Namshukuru tumeweza kwa muda wa miaka 5 kuzalisha na kusambaza mikoani bidhaa 5 za ngozi na nywele. Sasa wingi wa oda kwa mawakala wa mikoani, unafanya tushindwe kuwahudumia kwa wakati kwa upungufu wa mtaji. Tumeweza zalisha bidhaa 5 ambazo ni 1.Udongo tiba 2. Sabuni za udongo 3.Lotion 4...
  2. R

    Tuepukane na uagizaji wa sukari nje ya nchi, uzalishaji wa sukari nchini umefikia tani 380,000

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokuwa akizungumza na maafisa kilimo, wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Bagamoyo Mkoani Pwani, ameeleza uzalishaji wa sukari ya mezani nchini unafikia tani 380,000 ambapo bado kuna bakaa ya tani 70,000, hivyo kuna kila sababu ya kuongeza uzalishaji wa sukari...
  3. crome20

    Hivi karatasi nazo zinarudi katika mzunguko wa uzalishaji(recyclable)?

    Kutokana na mafanikio ya kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastic tumeshuhudia uzalishaji wa mifuko ya karatasi kama sehemu ya mbadala wa vibebeo. Lakini nionavyo mimi, karatasi aina zote zinaweza kuwa "recycled" kama zilivyo chupa za plastic ili kupunguza gharama za uzalishaji badala ya...
  4. Maboso

    Picha: Mradi wa Uzalishaji Umeme wa Upepo (Wind energy) wa Megawati 2.4 Mkoani Iringa

    Pichani ni mradi wa umeme kwa njia ya upepo ukiendelea kujengwa katika kijiji cha Usokami mkoani Iringa.
  5. Analogia Malenga

    Mazava chawapa likizo ya kibabe ya miezi 3 isiyo na malipo wafanyakazi wake

    Wafanyakazi wa kiwanda cha kuzalisha Nguo cha Winds Group ltd maarufu kama Mazava kilichopo Msamvu, kinadaiwa kuwapa likizo ya miezi 3 wafanyakazi wake bila malipo. Wafanyakazi wamezuiwa kuingia kiwandani kuendelea na shughuli humo leo Mei, 15.
  6. Analogia Malenga

    OPEC na Urusi zakubaliana kupunguza uzalishaji mafuta

    Urusi pamoja na mataifa yanayozalisha mafuta kwa wingi duniani (OPEC) yamekubaliana kupunguza kiwango cha uzalishaji mafuta kwa takribani mapipa milioni 10 kwa siku ili kuidhibiti bei iliyoporomka kutokana na janga la kirusi cha corona na vita. Punguzo hilo, ambalo liliafikiwa kwenye mkutano...
  7. Makirita Amani

    Njia mbili za kuongeza uzalishaji na ufanisi wako au wa wafanyakazi wako

    Rafiki yangu mpendwa, Kama umekuwa mfuatiliaji wa mambo yanayoendelea duniani, hasa kwenye upande wa sayansi na teknolojia, utakuwa unapata taarifa mbalimbali kwenye eneo la kazi. Taarifa kubwa na ambazo ni nyingi kwa sasa ni uwezo wa maroboti (Artificial Intelligence) kufanya kazi ambazo...
  8. beth

    Mkakati mwingine wa kuendeleza mpunga waja

    Serikali imezindua mkakati wa taifa wa awamu ya pili wa miaka 10, wa kuendeleza zao la mpunga nchini ili kuhakikisha wanafikia hekta milioni moja ifikapo mwaka 2025. Hayo yalibainishwa jana na Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, ambapo alisema lengo ni kuona wanaongeza uzalishaji wa zao la mpunga...
Back
Top Bottom