Habari zenu jf, moja kwa moja kwenye mada hivi uzinzi mnauchukuliaje, maana nilikuwa nasikiliza kipindi cha mwarobaini cha chaneli ten, nadhani kuna swali walikuwa wameuliza ambalo linauhusu siri ambazo umewahi kufanya wakati uko na x wako na hajawai kuzijua mpaka leo. Baadhi ya majibu kutembea...