Imani Uzuri is an American vocalist and composer.Uzuri has collaborated with a cross section of artists across various disciplines including Herbie Hancock, John Legend, Vijay Iyer, Sanford Biggers, Carrie Mae Weems, Wangechi Mutu and Robert Ashley.
In 2012 Uzuri released her critically acclaimed second album, The Gypsy Diaries, which was funded with a successful Kickstarter campaign. Uzuri was a 2015 Park Avenue Armory artist-in-residence. March 2016 will mark Uzuri's Lincoln Center's American Songbook series debut.
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na...
Anza kwanza kutazama kwa makini uwezo wake wa kuwwa mke na kuwa Mama wa Watoto wako. Usikimbilie kutazama makalio na figa tu Ndoa ni zaidi ya hayo. Umbo lake halisaidii chochote kwenye future yako.
Hello Mungu ni mwamba wa yote!
Ama kwa hakika wazuri miongoni mwa wakorinto hawafi, na wakifa husifiwa mithili ya malaika wateule waishio thethalonike.
Spinning for the dead angels does not live long and doesn't work with the common majority. Now that, the minority have assumed bust up and...
Mwandishi: Saadala muaza
Lilikuwa ni ziwa lenye uzuri wa ajabu.Uzuri ambao ulipambwa kwa miti mirefu iliyojaa rangi ya kijani.
Pembezoni mwa ziwa hili kulikaliwa na nyasi zilizosambaza mbawa zake na kulipa sura ya peponi ziwa hili.
Katika moja wapo ya miti mizuuri iliyopatikana katika ziwa...
Nipo Kigali kikazi, hao wanawake wa kinywaranda mnaowasifia kila siku kwa uzuri huko Instagram na hapa Jamiiforums mbona siwaoni?
Huku mitaani nawaona wanawake wa kawaida sana tena hawafikii uzuri wa dada zetu wa kitanganyika.
Pumbavuuu
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima...
Habari za wakati huu popote pale ulipo... Mungu yu nasi.
Wanawake warembo ,wenye mwonekano, pisi kali na n.k majina mengine mnayo mbona kuolewa ni kipengere na wakiolewa hawa dumu kwa NDOA?
Badilika we binti unatumika mwisho unaelekea kuzeeka mnaanza kuongopa umri ili ukaolewa na kijana...
Pichan ni Donkey VSZebra (PUNDA)
1. Donkey amekosa uzuri (mvuto)ambao Zebra kabarikiwa
2. Licha ya kukosa uzuri lakin ndiye miongoni mwa wanyama wanofugwa/wanaoishi na watu at homes
3. Zebra na uzuri (mvuto) wake wote alionao lakini anaishi porini haishi nyumbani na watu kama donkey
4...
Kwanini nchi nyingine bei ya nyumba iko chini sana na nyumba zao ni nzuri sana kuliko Tanzania?
Je, kupanga bei ya kuuza nyumba kupitia madalali wasio na ujuzi wala elimu yoyote ya ardhi na thamani yake, kunaathiri kiasi gani sector ya Real Estate nchini?
NI DHANA POTOFU KUSEMA MWANAUME HASIFIWI UZURI. NI AKILI NA KAMPENI ZA KISHETANI.
Anaandika, Robert Heriel
Kuhani.
Soma Kwa Utulivu. Hizi ni falsafa za Watibeli, Kutoka Nyota yenye mbawa Mbili. Isomwe Kwa hekima Kwa walio na hekima wapate ufahamu.
Zipo kasumba nyingi Mbaya katika jamii zetu...
Mwandani wangu ni wale ambao hawezi pita ukamuangalia mara moja, lazima ugeuke tena. Not only outside, hata kitabia na akili ni exceptional.
Kutoka na hilo amekua akipata usumbufu sana kitu kinachoniweka roho juu, ingawa yeye ananihakikishia kua yuko matured enough and aware.
Natibu vipi hii...
Kama Kuna Jambo kubwa nimejifunza kutoka kwa Rais wangu kipenzi, mama SAMIA, ni kuwa huru kusema ukweli, hata Kama unauma. Mama Samia hafichi, Kama amekopa anasema amekopa, Kama analipa anasema analipa.
Jambo hili limekuwa likiwauma watu, mlitaka mheshimiwa Rais aongope, wakati mnajua Kuna...
Bwana mmoja raia wa Zimbabwe Arnold Masuka (40) ameacha watu vinywa wazi baada ya kuiambia Mahakama hamuhitaji tena mkewe Hilda Mleya (30) kwa sababu ni mzuri kupita kiasi.
Arnold mbele ya Jaji Henry Chizvidzo ametoa malalamiko hayo ambapo amesema ametoa talaka kutokana na kukosa usingizi...
Haka kautafiti nimekafanya leo asubuhi hapa Kariakoo.
Both kwa ladies and gentlemen.
Ukitazama kiatu chake then umtazame sura yake unaona kabisa alistahili kuvaa kiatu hicho .
Hata kama kiatu ni Cha gharama mtu akiwa na sura mbaya bado atavaa kile kibaya.
Hata kama kiatu ni cha bei chee...
Niwe mkweli hivi makusudi ya Mungu kutuumba sisi wanaume na ubabaifu wa macho, au ni mimi tu mwenye macho ya Ndoige sieleweki vybez zangu ni zipi white Ndoige, dark Ndoige, nundu Ndoige, mshepu Ndoige, mfupi Ndoige, mrefu Ndoige, mwembamba Ndoige.
Hadi najishangaa huu ujazo wa utajiri wa huyu...
Lengo zima la mifuko ya jamii ni kumkinga na kumlinda mwanachama wake dhidi ya majanga.
Majanga ni vitu vyoote vinavyoweza kuondoa au kupunguza uwezo wa mtu kuzalisha.
Moja ya janga kubwa ni UZEE.Tunaliita ni janga kwasababu tunaamini huna uwezo wa kuzalisha na kuchangia kiuchumi kama...
Wasalaam wana JF
Nilikua na intoxicate myself nahisi kama kuna uhusiano kati ya uzuri na hela.
Niko sehemu very poshy iko na watoto wazuri sana nadhani ata mbinguni hakutakua na watu wabaya.
Kwani waislam wanasemaje mabikira 7 si ni pisi kali?
Sio tatizo kumpongeza Mtu alivyovaa na kupendeza, lakini ni vipi unampongeza Mtu kwa kuwa ni Mzuri au umbile lake zuri?...sio tatizo kumpongeza Mtu aliyefanya mazoezi na kutengeneza muonekano wa mwili (body building).
Hivi kwa akili zetu hizi huyo tunayempongeza ana mchango gani kumfanya yeye...
Tamasha la kwanza la mavazi ya jadi ya Hanfu la watoto lilifanyika Jumatano wiki hii mjini Shenyang China.
Kwenye jukwaa la maonesho, sambamba na muziki wa mtindo wa kale, watoto walionesha uzuri wa mavazi ya Hanfu na utamaduni wa jadi wa China. Kutokana na shughuli hiyo, watoto walijifunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.