uzushi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Msemaji wa Simba Haji Manara acha Uongo, Uzushi na Kupotosha kwa Kumpelekea 'Lawama' Mwamuzi wa Jana Sumbawanga

    Mimi GENTAMYCINE ambaye ni mwana Simba SC Mwenzako tena 'Kindakindaki' kabisa naweka hapa sababu ya 'Kipondo' chetu cha Jana 1. Wachezaji wa Simba SC wameshabweteka na wanajiona ni FC Barcelona ya Tanzania wakati hata hawajafikia 15% yao tu 2. Kocha wa Makipa wa Simba SC Mwarami Mohamed ni...
  2. Pascal Mayalla

    Mebeberu wana malengo na Tanzania? Waanza uzushi wa fujo baada ya JPM, CCM Kushinda. Wamzushia Magufuli ni dikteta. Kwanini tunanyamaza?

    Wanabodi, Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya? Kabla ya hapo...
  3. The Boss

    Orodha ya mambo ya uongo na uzushi kwenye siasa za Tanzania

    Hapa tutakua tunaweka mambo ambayo yalivuma mno baadae tukaja kugundua kumbe ni uzushi mtupu.. kwenye siasa zetu za Tanzania... Nitaanza na haya: 1. Riziwani Kikwete akamatwa na madawa huko China. Hili lilivuma hadi watu usiotarajia nao kuchotwa. 2. Sumaye ni bilionea anamiliki hadi kampuni...
  4. G Sam

    Facebook wafuta uzushi wa askofu Josephat Gwajima kuhusu COVID 19 aliokuwa ameuandika kwenye ukurasa wake ndani ya mtandao huo

    Baada ya Askofu Josephat Gwajima kutuhumu kuwa huenda Tanzania ikatumiwa Corona virus kwa njia ya 5G kutoka kwa nchi mabeberu na kuuandika Facebook hatimaye uongozi wa mtandao huo wameufutilia mbali. Askofu mzima unakuwa mzushi mzushi hadi unaonekana kituko
  5. Troll JF

    Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

    Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion. The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Usidharau habari hii. Mjue vyema mlezi wa mwanao

    Jamani wazazi wenzangu tuwe makini na hawa wadada wa kazi wa majumbani, hapa Tabata Kimanga karibu na kanisa la Anglikana kafariki mtoto wa miezi sita, na msichana wa kazi kakiri na kusema kwamba yeye ndo kamnyonga, baada ya kumnyonga akaenda kumlaza chumbani kwa mama yake kimya akamwekea na...
  7. T

    Gazeti la New York Times ni chuo cha kupika uongo, uzushi na uzandiki juu ya rais Trump

    Trump aliwahi kusema thanks for social media we can fight back fake news. Nawaza kipindi ambacho hizi mainstream media ndio chanzo kikuu cha habari si wamezushia watu wengi sana? Juzi New York Times walitoa habari kua Urusi imewalipa hongo wapiganaji wa Taliban kuwaua wamarekani au waingereza...
  8. OKW BOBAN SUNZU

    Zile gesti haziruhusu kuzama na mchepuko ni uzushi

    Wadau kula zile gesti za kilokole kwamba hawaruhusu kuvuta demu kama sio mke wako. Mara ya kwanza nilikutana na tangazo zito kwamba bila cheti cha ndoa huingii na mwanamke. Nikaitosaga ile lodge kwa sababu kulikuwa nilipanga kumchakata mrembo mmoja hivi. Lakini baadae nikawa najiuliza ina...
  9. Dam55

    Mch. Peter Msigwa, kwa hili tukio la Mbowe nenda katubu kwa uzushi wako kama kweli wewe ni mtumishi wa Mungu

    Maneno yangu ni machache tu kwako na najua upo humu na utaupata ujumbe huu. Wewe kama mtumishi wa Mungu tena mchungaji kabisa ulichokifanya si haki mbele za Mungu. Umeeneza uzushi kwamba mh Mbowe alishambuliwa na watu walio mshambulia walikuwa wanatamka maneno "wewe ndio unamsumbua Rais...
  10. Analogia Malenga

    Muhimbili yakanusha taarifa za uzushi kuwa muuguzi wake amefariki kwa Corona

    UFAFANUZI KUHUSU KIFO CHA MAREHEMU EVODIA KAPINGA ALIYEKUA MUUGUZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI* Dar es Salaam, Jumapili Aprili 19,2020 Kuna taarifa inasambaa katika mitandao ya kijamii kuwa Marehemu Evodia Kapinga amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona na kwamba alikua akihudumia...
  11. mjasiriamali mdogo

    Ukweli kuhusu NIDA: Tuwe makini na habari za uzushi kuhusu mchakato wa vitambulisho NIDA

    Habari waungwana. Leo ngoja nieleze mchakato wangu wa kitambulisho changu cha taifa mpaka kupata namba na niliyoyashuhudia ofisi za NIDA. 1. Kabla sijaanza kufatilia kitambulisho cha taifa, nilianza kuuluzia nyaraka zipi zinahitajika kaambatanishwa. Nikaambiwa cheti cha kuzaliwa,(kadi ya mpiga...
  12. Richard

    TCRA kufunga simu zisizosajiliwa ni mpango wa serikali kuwabana wale wanaotumia simu kusambaza habari za uzushi au fake news

    Habari za uzushi za kutekwa kwa mdhibiti mkuu wa fedha za serikali wa zamani Profesa Assad zimezusha taharuki kubwa. Na mpaka ilipoibuka video mitandaoni ambapo Profesa Assad anaonekana yupo salama na mwenye afya njema, watu wengi waliingiwa na hofu kubwa. Ifikapo tarehe 31 Desemba mwaka huu...
  13. technically

    Zitto Kabwe mbona huwa hakamatwi kwa uchochezi na uzushi kama ilivyo kwa wapinzani wengine?

    Kila kitu anachozusha Zitto serikali huwa haitoki kukanusha kuanzia ripoti za uchumi IMF, kuongezeka kinyemela kwa figa ya mishaara ya wafanyakazi, kuuwawa na kuzikwa watu kule Kigoma, na mambo mengine kibao ila waliposema hayahaya wakina Lema na Sugu walikamatwa na kuwekwa ndani kwa muda mrefu...
  14. Ng'wamapalala

    Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

    Mimi nilichojifunza ni kuwa serikali ya sasa imeanza kubadilika kwenye nyanja ya mawasiliano kwa umma hasa namna ya kukabiliana na tuhuma na uzushi wa kwenye mitandao ya kijamii lakini pia kwenye kuvuja kwa siri za Ikulu. Kwa jinsi ambavyo serikali/Ikulu imekabiliana na uzushi uliofanyika kwa...
Back
Top Bottom