vanilla

Vanilla is a spice derived from orchids of the genus Vanilla, primarily obtained from pods of the Mexican species, flat-leaved vanilla (V. planifolia). The word vanilla, derived from vainilla, the diminutive of the Spanish word vaina (vaina itself meaning a sheath or a pod), is translated simply as "little pod". Pre-Columbian Mesoamerican people cultivated the vine of the vanilla orchid, called tlīlxochitl by the Aztecs.
Pollination is required to make the plants produce the fruit from which the vanilla spice is obtained. In 1837, Belgian botanist Charles François Antoine Morren discovered this fact and pioneered a method of artificially pollinating the plant. The method proved financially unworkable and was not deployed commercially. In 1841, Edmond Albius, a 12-year-old slave who lived on the French island of Réunion in the Indian Ocean, discovered that the plant could be hand-pollinated. Hand-pollination allowed global cultivation of the plant. Noted French botanist and plant collector Jean Michel Claude Richard falsely claimed to have discovered the technique three or four years earlier. By the end of the 20th century, Albius was considered the true discoverer.
Three major species of vanilla currently are grown globally, all of which derive from a species originally found in Mesoamerica, including parts of modern-day Mexico. They are V. planifolia (syn. V. fragrans), grown on Madagascar, Réunion, and other tropical areas along the Indian Ocean; V. tahitensis, grown in the South Pacific; and V. pompona, found in the West Indies, Central America, and South America. The majority of the world's vanilla is the V. planifolia species, more commonly known as Bourbon vanilla (after the former name of Réunion, Île Bourbon) or Madagascar vanilla, which is produced in Madagascar and neighboring islands in the southwestern Indian Ocean, and in Indonesia. Madagascar’s and Indonesia’s cultivations produce two-thirds of the world's supply of vanilla.
Vanilla is the second-most expensive spice after saffron because growing the vanilla seed pods is labor-intensive. Nevertheless, vanilla is widely used in both commercial and domestic baking, perfume manufacture, and aromatherapy.

View More On Wikipedia.org
  1. Neema Mkangwa

    Nauza Ubuyu Mtamu sana kwa Bei ya Jumla na Rejareja

    Jipatie ubuyu mtamu sana wa kiarabu ambao unapata kwa ladha tofauti tofauti Ladha ya Vanilla Ladha ya Chocolate Ladha ya Pilipili Ni mtamu na hauchubui Mdomoni Call:0752228138 Jumla na Rejareja
  2. Jembe Jembe

    Mkurugenzi wa Makampuni ya Vanilla Matatani kwa utapeli, RC Makonda aagiza awekwe chini ya ulinzi hadi alipe mamilioni aliyotapeli

    Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya amejikuta Mikononi mwa Polisi Mara baada ya kutajwa kutapeli wakulima wa Vanila mamilioni ya fedha na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paulo Makonda kuagiza akamatwe na alipe madai yao chini ya ulinzi mkali wa polisi...
  3. Mtalebani Mweupe

    Tunanunua Vanilla

    Habari Wakuu!!!! Tunahutaji wakulima wanaouza zao la Vanilla. Tunahitaji ziwe zimekaushwa. Ziwe Grade One kuanzia sentimita 13 na kuendelea. Kama Una Grade nyengine njoo na bei tutalinganisha. Serious farmers Tu wani DM ASAP.
  4. Roving Journalist

    Serikali yatoa ufafanuzi madai ya Wakulima wa Vanilla kutolipwa zaidi Tsh. Bilioni 1 na Kampuni ya Sosaka Limited

    Wakulima wa zao la Vanilla Mkoani Kagera wameendelea kuiomba Serikali kuingilia kati kuwasaidia kupata malipo yao ya zao hilo walilouza kwa Kampuni ya Sosaka Limited. Imeelezwa kuwa Kampuni hiyo ilifuata taratibu zote na kupata vibali kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, ikanunua Vanilla...
  5. M

    Wakulima wa vanilla Kagera kutapeliwa na kampuni ya SOSAKA

    Sisi Wakulima wa Zao la Vanilla Kagera tulimuuzia Kampuni ya Sosaka Limited iliyopewa vibali na Ofisi ya Mkoa wa Kagera, vanilla zetu mnamo tarehe 19-23 July 2023 lakini mpaka sasa hatujalipwa hela zetu. Sosaka alikua ananunua vanilla kwa bei ya 15,000 Tsh na alikusanya takribani kilo 80,000...
  6. BARD AI

    Profesa Kapuya alitapeliwa na kampuni ya Kilimo cha Vanilla Njombe

    Matukio ya watu kutapeliwa kwa njia ya Upatu yamekuwa yakishamiri nchini na hii inahusishwa zaidi na ndoto za baadhi ya watu kutaka kutajirika kwa haraka huku wanaotajwa kuwa wasimamizi wa miradi hiyo wakitumia mbinu za ushawoshi
  7. A

    Tunanunua vanilla kiasi chochote kilo 1 sh 100,000 hadi sh 300,000 kutegemea na grade mahali popote

    Kama heading inavosema hapo juu wakuu Nina mtu anahitaji vanilla kiasi chochote na kwa bei tajwa hapo juu, Mawasiliano piga 0746021481 Hata Leo uwezekano ukiwepo tunaanza safari ya Kuja kucheki mzigo.
  8. G

    Nanunua Vanilla kuanzia kilo 200 grade one, mzigo uwe DSM

    Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu, kama unauza vanilla grade one (kuanzia sentimita 13 na kuendelea) njoo PM kwa mazungumzo zaidi. Iwe Dar es Salaam..... Call/Whatsapp: 0710535327
  9. Mwanaisha Mndeme

    Kilimo cha Vanilla

    Habari wadau!Naomba nipate mawazo/ushauri/ujuzi juu ya kilimo cha Vanilla
  10. Kamnyomo

    Natafuta mteja wa vanilla iliyokaushwa

    Habarini members. Kuna mzigo wa vanilla safi iliyokaushwa vizur unatafuta mnunuzi/mteja. Kiasi kilichopo:Tani 40 Bei kwa kilo : Tsh1,100,000/= (negotiable) Mahali mzigo ulipo: Comoro Mzigo unafika mahali popote ukihitaji karibu PM for more details
  11. Extrovert

    Naomba kujuzwa bei halisi ya Vanilla kwa kilo

    Nataka nitafute masoko ya Vanilla nje ya mipaka ila kabla ya yote ningependa kujua bei ya Vanilla ni TZS ngapi kwa sasa hasa maeno inapotoka iwe Kilimanjaro, Bukoba ama Iringa. Naomba anayejua anishirikishe niweze kujua bei ya kwenye source mashambani huko au kwenye zile AMCOs
  12. Arista

    Wanunuzi wa Vanilla toka Zanzibar

    Wanajamii poleni na majukumu, nipo hapa Dar es Salaam hila natokea Mkoani Kagera ambako kuna wakulima wa Vanilla wengi mno na zao hilo limekosa soko. Wanakijiji wenzangu wamenituma niwatafutie wanunuzi huku hila hapa Dar nikaambiwa hawapo mpaka huko Zanzibar hivyo nauliza mwenye kuwajua hao...
  13. Sky Eclat

    Ndizi za blue kutoka Hawaii zina ladha ya vanilla

    Blue Java bananas are popular bananas that can be eaten fresh or cooked. They are known for their fragrant flavour which has a vanilla-like custardtaste.[2] The fruit goes well with ice cream. They are also popular as ornamentals and shade plants for their unusual blue coloration, large size...
  14. Baraka21

    Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

    Ujumbe wa DC Njombe kissagwakisakasongwa kuhusu VanillaNjombe 📍Serikali bado inafanyia kazi maswali mengi yaliyopo katika jamii kutokana na matangazo kwamba Vanilla inalipa na bei ya manunuzi ya Vanilla kwa kilo zinazotajwa kuwa ni kubwa sana. Naomba wananchi tuwe watulivu wakati Serikali...
  15. mgt software

    Waziri Prof.Mkenda, umekwepa Maswali Bungeni unatuachia hatari wakulima wa Vanilla nchini

    Wana JF. Waziri wa Kilimo Mkenda ameonyesha ubingwa wa kukwepa maswali au kutoa majibu mepesi kuhusu mikakati ya kuimiza na kuboresha zao jipya la vanilla katika kuleta maendeleo ya nchi na wakulima, yeye jinsi alivyojibu unaweza Ukakaa chini ukalia. Yale matatizo wapatayo wakulima wa korosho...
  16. Stuxnet

    Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?

    Nisiwachoshe bure nitaandika kifupi sana. Kuna tangazo limepata airtime kubwa kwenye ITV kuhusu Vanilla International inayo promote kilimo cha vanilla wilayani Njombe. Bottom line ni bei ya soko ya kilo moja kuwa ni Tsh 850,000. Wasiwasi wangu: 1. Kama faida ni kubwa hivyo kwa nini wasilime...
  17. Lububi

    Mteja wa vanilla anahitajika

    Salaam. Mdau mjuvi na mpenzi wa mafanikio ya binadam mwenzie anisaidie kupata mteja wa vanilla wa uhakika hasa wa nje kuanzia kg 100. Na haizid kg 150.
  18. Lububi

    natafuta mteja wa vanilla kavu dar/kagera

    wadau nahitaji mteja wa kuaminika wa vanilla kavu. naanza na kg 120 zilizopo. mwenye offer nzuri ya nje au ndani atoe mchango wake kwa mjasiriamali mimi. mteja awe dar au bukoba
  19. OllaChuga Oc

    Zao la Vanilla

    Wakuu kwema? Hili zao la vanilla nimeona linapigiwa chapuo sana hasa kwenye bei yake nasikia ipo juu sana hadi kufikia usd 500 kwa kilo. Je ni kweli? Kwa wadau wanaohusika na ulimaji au wenye uelewa wa hili zao waje watupe elimu kuhusu ulimaji wa hili zao. Mimi siyo muumini sana wa fursa...
  20. N

    Ukweli kuhusu biashara ya Vanilla

    Wadau Naomba kujua ukweli kuhusu biashara ya Vanilla ambayo inatangazwa sana na jamaa wa Vanilla International wa Vanilla Village wa kule Njombe. Kwa mahesabu ambayo wamenipa naona faida yake ni mamilioni ya shilingi kwa mfanio ukiwekeza 10m faida yake kwa mwaka huo uikshavuna na kuuza...
Back
Top Bottom