vat

A value-added tax (VAT), known in some countries as a goods and services tax (GST), is a type of tax that is assessed incrementally. It is levied on the price of a product or service at each stage of production, distribution, or sale to the end consumer. If the ultimate consumer is a business that collects and pays to the government VAT on its products or services, it can reclaim the tax paid. It is similar to, and is often compared with, a sales tax.
VAT essentially compensates for the shared service and infrastructure provided in a certain locality by a state and funded by its taxpayers that were used in the provision of that product or service. Not all localities require VAT to be charged, and exports are often exempt. VAT is usually implemented as a destination-based tax, where the tax rate is based on the location of the consumer and applied to the sales price. The terms VAT, GST, and the more general consumption tax are sometimes used interchangeably. VAT raises about a fifth of total tax revenues both worldwide and among the members of the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD). As of 2018, 166 of the 193 countries with full UN membership employ a VAT, including all OECD members except the United States, where many states use a sales tax system instead.
There are two main methods of calculating VAT: the credit-invoice or invoice-based method, and the subtraction or accounts-based method. Using the credit-invoice method, sales transactions are taxed, with the customer informed of the VAT on the transaction, and businesses may receive a credit for VAT paid on input materials and services. The credit-invoice method is the most widely employed method, used by all national VATs except for Japan. Using the subtraction method, at the end of a reporting period, a business calculates the value of all taxable sales then subtracts the sum of all taxable purchases and the VAT rate is applied to the difference. The subtraction method VAT is currently only used by Japan, although subtraction method VATs, often using the name "flat tax," have been part of many recent tax reform proposals by US politicians. With both methods, there are exceptions in the calculation method for certain goods and transactions, created for either pragmatic collection reasons or to counter tax fraud and evasion.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    VAT itaua makampuni mengi ya mikoani, TRA angalieni hili

    Wana JF, Ujumbe huu uende kwa Rais Samia pamoja na TRA. Huu mfumo mpya ambao TRA imeuanzisha katika kukusanya VAT umeleta matatizo makubwa sana hasa kwa kampuni za wilayani na mikoani. Kawaida VAT huwa hivi. Mfanyabiashara unaauza bidhaa yako au huduma yako na kuongeza VAT juu ambayo mlaji...
  2. Idugunde

    Mdude Chadema: Wanafunzi wanaolipa kodi ya VAT wakinunua madaftali wanasoma kwenye mapagala!

  3. Jerlamarel

    Ikiwa tozo na VAT zina kiwango sawa, tafsiri nyepesi ni kwamba VAT imeongezeka mara 2

    Picha hapo juu inajieleza. Tafsiri nyepesi ya hizi tozo ni kwamba VAT imepanda mara 2. Zile stori za sijui nchi ni yetu sote, tunajenga nchi, tunaendesha miradi ni vichaka tuu vya kujifichia ila ukweli ndiyo huo kwamba VAT ime-double. Sasa kwa hali ya uchumi ilivyo ni mzigo tosha kwa mwananchi...
  4. I am Groot

    Mnaambiwa: Msijichanganye kwenye makato mengine ya watoa huduma yaani benki/kampuni ya simu na VAT. Tozo ya serikali inajitegemea

    Viwango vya juu vya tozo ya Serikali vimepunguzwa kutoka sh. 7,000/- hadi 4,000/-(kwa wanaotuma zaidi ya sh. 3,000,000/-). Viwango vya chini vimepunguzwa kutoka sh. 100/- hadi shilingi 10/- (wanaotuma kati ya sh. 100/- hadi 2,999/- Pia tusichanganye makato mengine ya watoa huduma yaani benki au...
  5. profesawaaganojipya

    Je, kuna App yoyote ya kutambua risiti za TRA?

    Ndugu wana jamvi naomba msaada,nitawezaje kujua kama risiti niliyopewa nifeki au sio feki,je kuna app yeyote ya kutambua risiti za tra?
  6. The Leader King

    Ardhi hulipiwa VAT?

    Habari zenu Wakuu, Nimekuwa Nikiyumba Kuhusu Sheria Ya ARDHI Kwa Makampuni ya Upimaji na Uuzaji wa Viwanja Kwamba Je Wanapovuka Tsh, Million 100 Kwa Mwaka. Je Hulazimika Kulipia VAT ? Hii Nakusudia Makampuni na Wauzaji Wengine Ambao Hufanya Upimaji Na Kurasimisha Mipango Miji na Kuanzia...
  7. beth

    Naibu Waziri: Suala ya wazalishaji mafuta ya kula kufutiwa 'VAT' linahitaji wataalamu

    Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande amesema Serikali inafanya tathmini ya hatua mbalimbali zinazopaswa kuchukuliwa kwa kila Sekta ili kukabiliana na athari zinazotokana na Hali ya Kisiasa ikiwemo Vita ya Urusi na Ukraine Ameeleza hayo baada ya Mbunge Nancy Hassan Nyalusi kuhoji ni hatua...
  8. comte

    TRA mfumo wenu wa e-filing hasa kwenye VAT unasumbua-rekebisheni

    TRA mmeweka mfumo mpya wa E filing ikiwemo VAT - unasumbua mrekebishe kama siyo njia ya kusumbua walipa kodi
  9. Jidu La Mabambasi

    Serikali ya wenzetu Kenya kuondoa kodi za Excise na VAT kwa magari yliyoundwa nchini Kenya.

    Katika hatua ambayo integemewa kukuza uchumi kwa kiwango kikubwa kupitia uwekezaji, serikali ya Kenya inatazamiwa kuondoa kodi za Excise na VAT kwa magari yatakayoundwa nchini Kenya. Kwa sasa hivi Kenya tayari imetoa exemption ya import Duty ya 25% wa magari yanayoingizwa. Tahadhari kwa...
  10. comte

    Serikali acheni kucheza na tozo kwenye bei ya mafuta punguzeni kodi ya VAT toka 18 hadi 10

    Bei ya mafuta ya petroli na diseal imeshuka tena na kuwa chini ya USD 100 kutoka 130 wiki iliyopita. Wiki iliyopita serikali ilitoa tozo ambalo ni mahususi kwa jambo maalumu. Mimi nadhani serikali ipunguze VAT kwenye mafuta ili kuleta suluhisho la kudumu kuliko hili la kutoa tozo.
  11. JAMBONIA LTD

    Calculations za VAT kupitia EFD machine

    Habari wakuu! Naomba kuelimishwa kidogo, nataka kufanya biashara na Supermarket moja hapa jijini Dar, wameahidi kuchukua mzigo mkubwa iwapo ntakuwa namiliki risiti za EFD kwaajili ya VAT. Kwa lengo wakati nawauzia basi niwatolee hiyo electronic receipt. Sasa naomba ushauri je kumiliki hicho...
  12. S

    Kodi halali ni VAT nyingine zote ni wizi, amkeni

    Ukweli usemwe kodi ya uhalali katika nchi nyingi ni ile inayopewa jina la VAT na hutozwa pale unaponunua kitu. Ila hapa Nyumbani Tz kuna mlolongo wa kodi zisizo na miguu wala kichwa ila zinameno na zinatumaliza wananchi. Unaenda kununua mfano luku ya umeme mle ndani mna tozo tatu kuna hiyo ya...
  13. OLS

    Serikali inatoza VAT kubwa kuliko wanavyosema, nashauri kusiwe na VAT kwenye huduma

    Kodi ya Ongezeko la Thamani(VAT) ni kodi ambayo inatozwa kwenye ongezeko la thamani ya bidhaa katika kila hatua ya uzalishaji hadi kuuzwa. Hata Mamalaka ya Mapato Tanzania(TRA) wameweka maana inayofanana na hii. Kabla sijaenda kuipinga kwanza nielezee namna VAT ipo theoretically Mfano Mkulima...
  14. D

    Ukoloni wa miamala haukubaliki; wananchi tukiwa na msimamo tunaweza kuupinga kwa nguvu utapeli huu; Kapu la VAT 18% linatosha wagawane huko

    Baadhi ya mambo ukiyatafakali yanadhihilisha wazi baina yetu bado tuna imani za kikoloni kichwani! Elimu haijatukomboa kabisa, hatuna ubunifu kichwani kabisa! Ni bure kabisa! Hivi kazi ya VAT ni nini? Na matumizi ya fedha hiyo ni yepi? Hivi kuna sababu gani ya mimi kukatwa 18%ya VAT, Halafu...
  15. guojr

    SoC01 Ushauri wangu kwa Serikali kupitia TRA

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nianze na angalizo kuhusu andiko langu hili kuwa sio la kielemu wala kitaalam ni mawazo yangu binafsi ninavyotamani kuona kama yanaweza kuonesha njia ya mabadiliko kwenye ukusanyaji wa mapato nchini. Nikirejea motto wa mamlaka ya mapato...
Back
Top Bottom