vazi

Vazi (Persian: وازی‎, also Romanized as Vāzī) is a village in Mazu Rural District, Alvar-e Garmsiri District, Andimeshk County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 25, in 4 families.

View More On Wikipedia.org
  1. osu2014

    Jinsi Mark Zuckerberg alivyopagawa na vazi la Mke wa Jeff Bezos jana.

    Wakati wa sherehe ya kuapishwa kwa Rais Donald Trump tarehe 20 Januari 2025, tukio lililomhusisha Mark Zuckerberg, Mkurugenzi Mtendaji wa Meta (zamani Facebook), lilivutia sana. Video moja ilimuonyesha Zuckerberg akitazama kifua cha Lauren Sánchez, mchumba wa mwanzilishi wa Amazon, Jeff Bezos...
  2. L

    Rais Samia aingia amependeza Kikaoni kuwahi kutokea, wengi watamani Ushonaji wake wa Nguo uigwe kwenye vazi la Taifa

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika ikiwa upo mbali na Tv yako basi nenda hata migawahani au vibanda umiza au hata kwa jirani mwenye Tv ushuhudie kinachoendelea Dodoma. kwa sababu ikiwa upo mbali na Tv au matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma . Basi utakuwa unakosa Mambo mengi sana hapa...
  3. Jidu La Mabambasi

    Je hili vazi la Mh Kawawa lilitoka wapi?

    Je, wajua kwa nini Mh Rashid Kawawa alivaa nguo hizi?
  4. Yoda

    Kijora ni vazi la aina gani na watu gani?

    Hili vazi la kijora ambalo huwa linazungumziwa sana na waswahili na watu wa pwani ni vazi la aina gani? Kijora kina utofauti gani na vazi la dera? Kijora kinavaliwa na watu wa aina gani zaidi?
  5. D

    Vazi la mtandio Lina mvuti kuliko khanga. Do you agree?

    Love it, live it
  6. B

    Ni muda ya vazi la maasai kuwa vazi la taifa la Tanzania

    Ni lini watanzania tutathamini vya kwetu? Nchi ya Tanzania ni nchi kubwa yenye tamaduni tofauti tofauti kutokana na kuwa na makabila mengi. So suala la serikali kuweka kamati ya vazi la taifa miaka na miaka naona ni ubadhirifu wa fedha za umma. Kwa sababu gani ni ubadhirifu wa fedha za umma ni...
  7. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa

    Mbunge Angelina Malembeka: Vazi la Rais Samia Linatosha Kuwa Vazi la Taifa Mbunge Angelina Malembeka amesema kwa mtazamo wake mavazi anayovaa Rais Samia Suluhu Hassan yanatosha kuwa vazi la Taifa kwani yana stara, ustaarabu, heshima na unadhifu. Angelina ameyasema hayo Bungeni jijini Dodoma...
  8. K

    Vazi la Taifa ni utapeli wa serikali?!!

    "Hakuna vazi lolote duniani linaloitwa la taifa lililoundiwa tume. Hakuna! Kuwafanya Watanzania watumie muda wao kusaka vazi la taifa ni wild-goose chase (wehu) na diversionary tactic ili wasahau mambo muhimu yaliyowashinda watawala. Tusipotezeane muda wetu," Jenerali Ulimwengu NB- 2004-2005...
  9. Webabu

    Vazi la Isdal linavyowatayarisha wanawake wa Gaza kwa vita na kuheshimika. Mungu kaona juhudi zao

    Katika vita vya Gaza vinavyoelekea ukingoni baada ya hasara kubwa, tumeshuhudia mambo mengi sana na mengi ya hayo ni ya kushangaza mno. Binafsi kuna kitu nilikiona na nikajaribu kukifungulia uzi. Lakini mamodi wa JF kwa kuwaendekekeza akina Imeloa na Yoda na MK254 na Kinyungu na wenzao...
  10. Daydream

    Wiki hii jezi ya Yanga kama vazi la taifa

    Tangu tuwafunge Makolo naona mitaani jezi ya Yanga imetawala huku ni nadra sana kukutana na mtu kavaa jezi ya Simba. Kila ninapopishana na watu kumi basi wawili au mmoja kavaa jezi ya Yanga Hakika kuwafunga Makolo kuna raha yake tena uzuri zaidi tumewashindilia za kutosha Sijui kama Makolo...
  11. B

    Baadhi ya viongozi Serikalini ni vibaka waliojivika vazi la uongozi

    Habari za leo wana jamvi, Moja kati ya vitu vya muhimu sana ili nchi iendelee, lazima uongozi uwe vizuri. Viongozi wawe waadilifu na watambue kwamba wapo kwenye nafasi walizopo kwa ajili ya kuwawakilisha wananchi kwa ujumla. Bahati mbaya sana tuliyo nayo kama Taifa, ni ile hali ya viongozi...
  12. sky soldier

    Mungu anaangalia roho sio mavazi, Makanisa muwaachie dada zetu kuwa huru kuvaa wanavyotaka, hata vipensi ni mavazi, tunachoangalia ni roho

    Hapo zamani nilishuhudia kwa macho yangu makanisa yalikuwa na tabia za ajabu kuwavisha kanga wanawake waliokuja wamevaa sketi zilizobana kwa mbali, waliovaa suruali hata ziwe pana walifukuzwa kabisa kurudi nyumbani. Tunashukuru kadri muda umeenda makanisa yamejitambua, Leo hii wanawake...
  13. Kiplayer

    Vazi la dela lina vyote ustaarabu na uchafu

    Likivaliwa na mwanamke kwa lengo la kujistili linaongeza ustaarabu. Shida likivaliwa Ili chura arukeruke basi linaonekana ni vazi la kimalaya.
  14. D

    Wadada hili vazi ni kwa ajili ya nini haswa?

    Women are very complex
  15. N

    SoC03 Uongozi na vazi lake

    Uongozi ni jambo jema sana ndiyo maana uongozi upo ndani ya watu wote, na uongozi ni rafiki na shughuli za wanadamu. Uongozi kwangu ni mamlaka ya kusimamia na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha palipo kusudiwa pafikiwe. Kuna uongozi wa aina mbili au tatu. Kuna uongozi wa kuchaguliwa, kuteuliwa...
  16. Jidu La Mabambasi

    Learned Sister, hili vazi ni sawa kweli?

    Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions. Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function. TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli? Ila niseme ukweli tu...
  17. Melki Wamatukio

    Pongezi za dhati zimfikie aliyegundua vazi la kanga kwenye hiki kipindi cha mvua

    Hapa ndipo nathibitisha kuwa mwanamke ni pambo la dunia, moja kati ya mapambo manne yaliyoanishwa na mtoto wa Nasib kisanaa. Ukikutana na mwanaume tall and dark akiwa ndani ya jacket ambalo ni water proof akikatiza chocho hadi chocho kwenye mvua kali ujue ni mimi. Nafanya tathmini ya vazi hili...
  18. Hemedy Jr Junior

    Vazi la Taifa Nchi ya fiji linatia mashaka Sket kwa wanaume 🤔

    Tizama Video hii ya Rais wa fiji akiwa amevalia sketi na koti daah ...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Jana ulikuwa ni mkutano wa CCM uliovalishwa vazi la CHADEMA

    Na, Robert Heriel Jana agenda kuu ya mkutano ilikuwa kumshukuru na kumpongeza Rais, na ukimpongeza Rais tafsiri yake umeipongeza CCM. Ninaweza kusema Ulikuwa Mkutano wa CCM katika Vazi la CHADEMA. Na Hii ndio inaweza kutoa picha ni aina gani ya Siasa katika nchi hii tulizonazo. Hakukuwa na...
Back
Top Bottom